December is the twelfth and the final month of the year in the Julian and Gregorian calendars. It is also the last of seven months to have a length of 31 days.
December got its name from the Latin word decem (meaning ten) because it was originally the tenth month of the year in the calendar of Romulus c. 750 BC which began in March. The winter days following December were not included as part of any month. Later, the months of January and February were created out of the monthless period and added to the beginning of the calendar, but December retained its name.In Ancient Rome, as one of the four Agonalia, this day in honour of Sol Indiges was held on December 11, as was Septimontium. Dies natalis (birthday) was held at the temple of Tellus on December 13, Consualia was held on December 15, Saturnalia was held December 17–23, Opiconsivia was held on December 19, Divalia was held on December 21, Larentalia was held on December 23, and the dies natalis of Sol Invictus was held on December 25. These dates do not correspond to the modern Gregorian calendar.
The Anglo-Saxons referred to December–January as Ġēolamonaþ (modern English: "Yule month"). The French Republican Calendar contained December within the months of Frimaire and Nivôse.
Nilikuwa najiuliza tu huu ufisadi wa kununua Rolls Royce na Mercedes Benz G Wagon kwa vigogo wetu nchini pamoja na hizi Rasimali za nchi tulizonacho zinavyotumika ndiyo sivyo.
Kwanini ulinzi wa kuilinda Dola, usitumike kulinda Rasilimali za Nchi na kuzuia ufisadi na mafisadi. Nafikiri Kuna haja...
Hio itakuwa Siku ya Christmas, wakiristo watahitaji kutoka kusherehekea.
Hakuna namna ya kuzuia mikusanyiko siku hio, na kama wakizuia na ndio lengo letu., Sio tu machawa yataguswa hata watanzania wa kawaida wataanza rasmi kuandamana.
Dar es Salaam residents packed major supermarkets on Sunday as many rushed to buy essential supplies ahead of December 9, resulting in long queues and crowded aisles across the city.
The rush comes even after the Tanzania Police Force announced a ban on the planned December 9 demonstrations...
https://youtu.be/h4-JUe9Ckg0
Assessing President Samia’s Utterances to Elders on 02 December 2025: Constitutional Loopholes Under Articles 46(1) and 46(3) Permit Court Proceedings Against Samia
1. Abstract
“Do not pollute the land where you live, for bloodshed pollutes the land, and no...
Kama tulivyojadiliana maandamano ya kupinga udhembe na kukosekana uwajibika miongoni ya walimu wetu na viongozi wa chuo pia yatafanyika 18 December 2025 kama tulivyokubaliana.
Kero kwa miaka na miaka zimekuwa zikilalamikiwa na kupelekwa kwa viongozi husika ila kumekuwa hakuna mabadiliko imekuwa...
Anonymous
Thread
amani
chuo kikuu huria
december
dhidi
huria
kikuu
maandamano
maandamano ya amani
mbovu
open
open university
tarehe
university
uongozi
uwajibikaji
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Desema 9, 2025, likisema kuwa yamekosa sifa za kisheria za kuyaruhusu kufanyika, ikiwemo kulenga uvunjifu wa amani.
Aidha, Jeshi la Polisi limesema hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa ya kutoa taarifa ya kufanyika...
Kulikuwa kuna mawaiza gani maana eneo nililokuwepo baada swala tunajua kuna mawaiza ila cha kushangaze mawaiza yalipofikia wakapunguza sauti za vifaa.
Nikashangaa maana sio kawaida.
Kuelekea tarehe 9 anza kukusanya mahitaji yako ndani, mlikishwa pewa taarifa muhimu ya kutoa pesa kwenye mabenki na simu muwe na Cash.
This is highly likely, kuwa hili jambo la tarehe 9 likienda kama linavotakiwa kwenda, basi historia mpya Tanzania itaandikwa
Tahadhari ni muhimu,
Huenda mambo yakawa tofauti zaidi kuliko ilivyokuwa hapo awali.
Huenda hata hiyo tarehe tajwa isifike watu wakashtukiza ,hivyo kama ulikuwa hujajiandaa kimahitaji kikamilifu utakufa njaa.
Nunua umeme wa kutosha angalau wa miezi miwili,
Jaza jaza mavyakula hayo maana kuna...
Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataanguka walala hoi pekee?
Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi.
Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza
Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia
Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo...
Salut kwenu great thinkers wote wa JF.
Kijana wenu napatwa na mashaka sana na Hawa wasomi wetu wanaoajiriwa na hiki chombo Cha ulinzi na usala wa raia na mali zao. Tukumbuke ya kwamba hili jeshi Lina wasomi wa taaluma MBALIMBALI na katika ngazi mbalimbali za kielimu.
Hainiingii akilini kwa...
Hadi sasa wanakana kuhusika na mauaji, wanajitahidi kwa nguvu zote kuzihakikishia jamii za kimataifa, taasisi za kimataifa, vyombo vya habari vya kimataifa na mashirika mbalimbali kwamba hawahusiki na genocide iliyotokea?
Tumeona bunge la Ulaya tayari wameshakiwasha, hakuna tena misaada, je 09...
Habari zenu ndugu wana jamiiforums !
Naomba niwapitishe kwenye kumbukumbu za matukio yaliyo pelekea DE9 kuwa siku muhimu kwenye ukombozi wa nchi yetu kwa mara nyingine tena katika mwaka huu wa 2025 baada ya ile ya 1961!
Kwa ufupi kuanzia mwezi January 2025 ilionekana kuwa mwaka wa kihistoria...
Kulingana na taarifa za maandamano ya amani zilizopangwa kufanyika 9 december , je siku hiyo sherehe hizi zitafanyika kweli?
Tunajua vyombo vya usalama asilimia kubwa huwa vipo pale uwanja wa taifa kusherehekea sherehe hizi na maigizo yao ya kuvunja matofali kwa vichwa, hii inapelekea maeneo...
Hili ndio swali ambalo binafsi najiuliza hasa ikitokea raia wanaandama kwa wingi na kwa amani huku media za kimataifa zikiwa zinafuatilia kwa karibu (zinakusanya ushahidi) kwa njia mbalimbali ikiwemo kutumia picha za satellite .
Mtazamo wangu:
Kwasababu limeshafanyika kosa na kuna juhudi za...
Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya Kariakoo Hajj Manara leo November 19, 2025 ametangaza rasmi tarahe ya uzinduzi wa ofisi za Manara tv huku ikiwa ni mabadiliko ambapo awali uzinduzi huo ulitakiwa ufanyike November, 2025. Mabadiliko hayo yamechochewa na shughuli za uchaguzi mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.