Huyu mtu ,enzi zile nilikuwa sikosi kupitapita kwenye akaunti yake twitani au channel kumi na Tanzanite TV, kiukweli hata kama niwe nimeboleka au wife kanichanganya, basi nikipita kwa bwana musiba, sikosi kukuta kitu cha kunifanya nipoteza mawazo.
Mala ya mwisho ,kuonekana kwenye media...