crown fm

Crown International, or Crown Audio, is an American manufacturer of audio electronics, and is a subsidiary of Harman International Industries, which has been part of South Korea-based Samsung Electronics since 2017. Today, the company is known primarily for its power amplifiers, but has also manufactured microphones, loudspeakers, and a line of commercial audio products, as well as digital audio networking products.

View More On Wikipedia.org
  1. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Juma Ayo ana IQ ndogo sana. Inakuwaje Crown Fm wanampa majukumu yanayozidi uwezo wake?

    Nimesikiliza kwa makini mahojiano kati ya watangazaji wa Crown Fm na mgeni wao mheshimiwa genius professor Mangungu ambaye ni boss wa Simba Sports Club. Nilichogundua ni kwamba Mheshimiwa genius professor Mangungu ana IQ kubwa mno na huyu Juma Ayo hana uwezo kabisa wa kuhoji kichwa kama...
  2. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Kocha Julio awatukana waandishi wa Crown Fm kipindi kikiwa live asubuhi hii

    Baada ya Kocha Jamhuri Kihwelo Julio kufutwa kazi jana na klabu yake ya Mashujaa Fc leo Crown Fm wakaamua kumpigia simu. Juma Ayo akapiga simu, akakutana na matusi live bila chenga. Julio akawaambia nyie Crown Fm nawachukia sana maana hapo kuna waandishi was*nge sana, Ikabidi Crown Fm wa-...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kilichotokea kati ya Hans Rafael na Mkai pale Crown Fm ni ushamba na sio maadaili ya kazi! Acheni kugombana

    Leo kwenye kipindi cha michezo pale Crown Fm kilivyokuwa kinaendelea ilitokea ugomvi ambao si mzuri kabisa! Yani ilikuwa hivi..... Mchambuzi Hans aliingilia wakati mchambuzi mwenzio akichambua kitendo ambacho Paul Mkai akaonyesha kutopendezewa na akawataka wachambuzi kumuacha mmoja azungumzie...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Crown FM hasa kipindi cha michezo asubuhi

    Kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya hasa kwa kipindi chenu cha mochezo kinachoongozwa na mkuu wa dawati bwana JEMEDARI SAID KAZUMARI Ushauri wangu n kwenu ambao mnaongoza kipindi yaan bwana JUMA AYO , PAUL MKAI NA JESCA MHAGAMA kuna mchambuzi hapo anaitwa JEFF LEA naona haheshimu KITI...
  5. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Nahitaji connections za redioni hasa hasa Crown fm, Mjini fm, Times fm na E fm

    Wakuu, nimeamua kujiBabu Tale. Nimefikiria mbali sana kimaisha, ikanibidi nitafute wasanii chipukizi wanaopanua makoo yao kwenye viwanja vya mpira nyakati za jioni nikaona wacha niwasapoti kimuziki huenda nitapata chochote hapo baadae hususani kwenye ma show pindi watakapokuwa wakubwa Au kama...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Crown Media wachukuliwe hatua kali kwa kuruhusu Watoto Wadogo kuhudhuria Tamasha la Usiku la Mwenge, Rufiji

    Crown Media inapaswa kuchukuliwa hatua kali na Mamlaka kwa kuruhusu watoto wadogo kuhudhuria tamasha la usiku la Utete, Rufiji, kwenye Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru. Kupitia video hizi Crown wameruhusu Watoto kushiriki katika shughuli zinazoweza kuwa na madhara kwa afya, elimu, akili, mwili, au...
Back
Top Bottom