clement mzize

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. stakehigh

    Hongera Clement Mzize kushinda Goli bora (CAF)

    Mshambuliaji wa Yanga Clement Mzize amefanikiwa kushinda goli bora la mwaka Afrika
  2. technically

    Mshahara wa Clement Mzize

    Wakuu nimeambiwa mshahara wa Clement Mzize ni Milioni 40 kwa Mwezi Ndiye mchezaji ghali zaidi Tanzania? Hongera Ghalib Said Mohamed (GSM), Pia Mtangazaji wa Azam TV, Mzinga jana alidokeza hivyo. Kama ni hivyo hongera sana kwa wachezaji wazawa sasa mpira unalipa.
  3. M

    Kwanini Yanga imekubali kumuuza Best Player wake Aziz Ki kwa dola laki nane, ila inakataa kumuuza Mzize kwa dola milioni moja ? Akili gani hii?

    Habari wadau Naombeni majibu ya hili swali. Kwa nini Aziz kii alietingisha Africa nzima.. na ameisaidia yanga sana na sana kwenye game kubwa na ngumu amekubaliwa kuuzwa kwa dola laki nane kwenda wydad. Ila mchezaji mwingine wa yanga ambaye hana msaada kama aziz kii.. anakataliwa kuuzwa kwa...
  4. Chibike

    Clement Mzize umemkosea heshima sana wakala wako, wachezaji wazawa ndio mana wengi hawafanikiwi kucheza nje ya nchi

    Kwa kitendo cha Clement Mzize kukubali aliekua msimamizi wake kukejeliwa na klabu pamoja na viongozi waliopo kwenye idara ya habari ya klabu ni kumkosea heshma na nimeshangazwa sana kuona Mzize anakubali hili wakati amewahi kusaidiwa na yule Mama Bila shaka wachezaji wetu mbeleni watapitia...
  5. Damaso

    Sakata la mzize na wakala wake Jasmine

    Katika dunia ya sasa ambapo teknolojia imeshika hatamu, heshima na unyenyekevu vimebaki kuwa silaha za thamani kubwa kuliko hata mali au umaarufu. Watu duniani wapo na file lako ukijichanganya kinakuramba mapema sana.
  6. U

    Pichani mshambuliaji wa Yanga Clement Mzize akiwa dukani kwake akiomba wananchi wamuungishe

    Mfike Kuungisha Wananchi🙏
  7. Waufukweni

    Mwinyi Zahera: Yanga walitaka kumpeleka Clement Mzize Singida kwa Mkopo, Mimi nikamshauri Nabi

    Mwinyi Zahera, kocha wa zamani wa Yanga, amesema Yanga walikuwa tayari kumpeleka Clement Mzize Singida kwa mkopo, lakini yeye alimshauri kocha Nabi asikubali. Ameongeza kwamba walitaka kumtoa Mzize wakati hajaanza hata mazoezi na timu kubwa, na hata baada ya barua kutoka Marseille, bado msimamo...
  8. ngara23

    Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Manager na msimamizi wa mchezaji Clement Mzize amesema kuwa Yanga wana roho mbaya hawataki kumwachia Mzize akatafute malisho mzuri mahala pengine. Amehoji kuwa club ya Al Masry ilikuja na dollar 600k Yanga wakagoma kuwa wanahitaji dollar 1m, akaendelea kusema kuwa Yanga kama walimuuza Mayele...
  9. Kichwa Kichafu

    Ubora wa Clement Mzize ni juhudi za Kupambana kwa bidii

    Habari. Wote ni wazima wa afya na vyema tuendelee kumshukuru Mungu Kwa wema wake kwetu. Twende kwenye mada Moja kwa Moja juu ya mchezaji bora mwenye nguvu na kasi akiwa uwanjani. Clement Mzize amekuwa akifanya vizuri sana Kwa sasa hata kwa takwimu zinaonekana mbali na ubunifu ulioungana na...
  10. Its Pancho

    Simba wamegeuka kuwa marafiki wa Mzize. Hakika wamemkubali

    I salute you kinsmen. Mjue mimi kama mchambuzi nguli kabisa hapa JF nimekuwa nikishangazwa na tabia ya ndugu zangu mashabiki wa Simba sc.! Wao wana tabia za ajabu sana na zinashangaza sana. Leo hii wamejifanya marafiki wa mzize ..! Sote tunajua mzize amepata ofa kutoka wydad zaidi ya 3 na...
  11. DELETED ACCOUNT

    Clement Mzize usiwe mjinga, pigania maslahi yako!

    We jamaa pamoja na kwamba unachezea utopolo nimekupigania sana ili timu yako isilalie fursa zinazokujia. Niliwahi kusema ukipunguza wenge wewe ndiyo unaenda kuchukua mikoba ya kina Samatta na kuibeba Taifa Stars kwa miaka 5 ijayo. Utulivu wako wa sasa unaonyesha kile nilichokiona. Wydad...
  12. Waufukweni

    Tetesi: Wydad AC yatuma ofa Yanga kwa wachezaji wawili Aziz Ki na Mzize, Yanga yasema kila mmoja ni TSh. Bilioni 1.993

    Klabu ya Wydad Athletic Club imewasiliana tena na Yanga kwa ajili ya kupata saini ya wachezaji wawili, Clement Mzize na Stephane Aziz Ki. Pia, Soma: Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho
  13. Bigmaaan

    Bado sielewi, kwanini Dube alipwe fedha nyingi kuliko Mzize?

    Hebu nisaidiane majibu! Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
  14. Waufukweni

    Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho

    Feisal 'Fei Toto' Salum - Azam FC Katika dirisha la usajili la kiangazi Julai 2024, Fei Toto alihusishwa na klabu kubwa Afrika kama Mamelodi Sundowns na Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini, Wydad Athletic Club ya Morocco, pamoja na Simba SC. Hata hivyo, dau lake la TSh bilioni 5.1 (kwa mujibu...
  15. fimboyaukwaju

    Clement Mzize wa Yanga

    Huyu kijana ametrend vibaya sana ,sasa inabidi watu walio karibu nae kumjenga kifikra ili asipotee,kwani kama hatosaidiwa na kwa elimu yake ilivyo ndogo atapotea soon
  16. Waufukweni

    Aucho, Mzize na Boka warejea kikosini kwa mchezo wa pili dhidi ya MC Alger Ligi ya Mabingwa Afrika

    Kiungo mkabaji wa Yanga SC Khalid Aucho, Clement Mzize na Boka wamejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 25 kitakacho safiri leo Alasiri kuelekea nchini Algeria kwaajili ya mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger utakaopigwa Disemba 7 2024. Wachezaji...
  17. kipara kipya

    Baada ya kuzoea kucheza na wakongo kwenye klabu yake alivyoona krosi akaitia nyavuni kwao

    Striker force ambaye amezoea kupokea makrosi ya Joyce Lomalisa,Djuma Shaban,Shadrak Boca na Max Nzengeli jana alipoina inakuja krosi ya wakongo akajua yupo kwenye majukumu ya klabu akaitia kunyavu cha kushangaza akaona wenzie hawashangilii ndipo huzuni ilipomshika,cha pili moroco anatakiwa...
  18. Waufukweni

    Tetesi: Wydad Casablanca wamrudia Clement Mzize, Ofa ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2, na Masharti Magumu

    Unaambiwa, vigogo wa soka la Morocco, Wydad Casablanca, hawajakata tamaa. Wakifukuzia saini ya mshambuliaji wa Taifa Stars na Yanga SC, Clement Mzize. Hii ni baada ya klabu yake kuweka wazi kuwa hajupo sokoni. Lakini Wydad hawajali, hawasikii wala hawaogopi—wanaendelea kushindilia mlango ambao...
  19. Travis Kitengo

    Viongozi Yanga FC acheni propaganda uchwara kuwauza wachezaji wenu

    Awali mlianzisha propaganda kwamba kumbakiza Aziz ki ni ngumu maana timu nyingi kubwa afrika zinamuwania.Lengo muonekano mmempambania sana mpaka mmewin vita ya kuzishinda timu kubwa za Afrika. Lengo mashabiki na wanachama wawaone "mnafight" sana kumbe nyuma ya pazia mufanikishe exploitation Kwa...
  20. Waufukweni

    Clement Mzize amebeba tumaini la Stars kufuzu AFCON 2025

    Mshambuliaji kinda mzoefu wa miaka 20, Clement Mzize, ameonekana kuwa hatari katika kikosi cha Yanga, akionyesha kiwango bora katika mechi za kirafiki na mashindano. Sifa zake za uchezaji zimemfanya kuwa mchezaji wa kutegemewa, na sasa matumaini ya Tanzania kufuzu Michuano ya Mataifa ya Afrika...
Back
Top Bottom