chuoni

Chuoni Football Club abbreviated as Chuoni FC is a Premier League football club in Zanzibar based in Unguja Island.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TBT nikiwa chuoni: Vijana wadogo, hakuna Msichana mgumu wala usinunue dawa za mvuto...

    Kwa vijan wengi, Maisha ya vyuoni ndio huwa maisha ya kuishi kwa uhuru kwa mara ya kwanza, Ndicho kipindi vijana wengi hutilia mkazo swala la kutafuta wachumba. Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi. Mabinti wengi wa vyuoni...
  2. DOTHRAK

    JamiiForums Tanzania Niliambiwa chuoni wanawake ni wa kumwaga mbona mimi sipati?

    Dah ile vuuu!! Paaa si nikamaliza six mzee sahiyo akili inafahamu kuwa chuo ni bata na mademu wa kumwaga duh!!!. Fresh mzee nikajitusu nikaomba mkopo Mungu Si MWENDAZAKE nikapata tena 100%. Basi mzee nikaingia Univ. Aisee hao mademu mbona siwaoni? Aise mbona hata hizo bata ni za manati jamani...
Back
Top Bottom