chuo cha udsm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Mwenyekiti wa Asasi ya Wanafunzi ya Siasa UDSM: Hapa nchini unaambiwa ili utoboe unahitajika uwe na kadi ya chama fulani ili uwe karibu na mifumo

    Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV Mwenyekiti wa Asasi ya Wanafunzi ya Siasa UDSM Antony Severine alisema: "Kama vyama vinaunganishwa na vijana kupitia ilani, ni dhahiri vijana ndio wanaoathirika na ilani za vyama hii imenikumba hata mimi, ambapo unaambiwa ili utoboe...
  2. MOHAMADI MBARUKU MOHAMADI

    KERO Kukataliwa kwa wahitimu wa BA in History and Political science kwenye Ajira Portal

    Wahitimu wa Udsm wa ba. In History and Political science wana disqualify kuapply public administration and HRM Japokuwa walizisomea darasa moja na lecture mmoja pamoja na wanafunzi wa political science and public administration ambao ndyo wako more favored. Kwa hiyo kama ni ngumu kuajiriwa...
  3. Fbn

    Waliosoma UDSM kipindi cha nyuma teknolojia ya internet bado inakuwa walikuwa wabishi wakisema taarifa unazopata ni za uongo

    Mi bado na kazia tu wasomi waende VETA. Miaka ya nyuma ilikuwa kazi sana na wasomi UDSM ambao waliamini maarifa na taarifa zipo sehemu moja ambayo ni chuoni na vitabu vilivyomo hapo tu. Hata hapa JF ukitafuta mijadala mingi kipindi JF inaanza utaona wakisema taarifa za internet ni uwongo.
  4. Mzee Saliboko

    Ni shortcourse zipi mtumishi wa serikali anaweza soma evening class dsm

    Kwa vyuo vilivyopo DSM? Based on management and health not medical
  5. R

    Wanafunzi wageni wa nchi za nje wengi wanasoma UDSM, kwani vyuo vingine havina hadhi ?

    Pamoja na demand ndogo ya taifa letu kupokea wanafunzi wa nchi za nje lakini katika hao, sehemu kubwa wananyooka moja kwa moja Udsm, Ni kwamba hawaoni vyuo vingine ? Byuo vingine ni nadra sana na ukiwakuta labda ni wa Burundi, Msumbiji, n.k. Nikianza kushusha hapa Alumni waliomaliza UDSM list...
Back
Top Bottom