chotara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CoderM

    Naingia kwenye kufuga kuku chotara (Saso)

    Baada ya mvua za msimu huu kuwa za kusita na kupoteza mbegu kwa kupanda zaidi ya Mara mbili na kuungua na jua, huku nyanya nazo zikiwa zinachechemea, nimeamua kuanza ufugaji wa kuku chotara Aina ya sasso wakati tunaendelea kusubiri neema ya mvua Kama itatuwezesha kuvuna. Mpango ni kufikisha...
  2. S

    Suluhisho kwa wafugaji wa Kuku chotara

    Kheri ya mwaka mpya kwa wafugaji wote. Kumekuwa na changamoto nyingi wanazopitia wafugaji hususani kipindi cha kuanza ufugaji wao wa mara ya Kwanza. Changamoto hizi huchangiwa na kutokuwa na elimu sahihi ya ufugaji au taarifa sahihi kuhusu ufugaji. Haya yote husababisha mfugaji huyu kupoteza...
  3. mgt software

    Vita ya CCM chotara na CCM walowezi: Nani alirudisha Chama kwa wananchi?

    Wana JF Japokuwa Kiroboto anapigana kivyake kwa kutokubaliana na mambo fulani fulani yanayoendelea ndani na nje ya serikali mbali na maudhui yake ya kununua machawa toka upinzani, angalau bado ana kauzalendo kalikokuwa kamemezwa na mapapa ya CCM Asilia ambao kazi kubwa ni kuhakikisha...
  4. mgt software

    Ukali wa Rais Samia kifo rasmi cha CCM Asilia na CCM Chotara, CCM Chawa nao hawatafanikiwa

    Wana JF Baada ya Mama Yetu Rais na Chief kutema nyongo kwa makundi yanayoendelea kuandaa kuvuruga mipango yake ya sasa ya kuboresha nchi na kuondoa makondokonda makubwa pamoja na vidonda vilivyoachwa na serikali tangulizi, nupende tu kusema basi kifo rasmi cha Ccm asilia wanaojinasibu kama...
  5. Heci

    Mbwa wazuri sana, chotara wa Germany Shepherd na Australian Dingo wanauzwa bei nafuu

    TZS. 200'000/- Vijibwa vizuri sana, vina miezi mitatu. Bei ni nzuri sana, karibu ujipatie wa kwako. Call 0717454455
  6. Afrika_Bora

    Ni wapi au kampuni gani inajishuhulisha na uuzaji wa kuku aina hii ya Chotara Kuroiler ambao ni uzao wa kwanza F1?

    Kuroiler ni kuku Chotara ambae hupatikana kwa kupandishia kuku wa jamii mbili tafauti ili kupata matokeo mazuri zaidi ukilinganisha na kuku wa kawaida. Matokeo hayo ni pamoja na kutaga mayai mengi au/na pia kuwa na miili mikubwa kwaajili ya nyama. Hivyo kumfanya mfugaji wa kibishara kupata...
Back
Top Bottom