Sio kawaida kwani sio wanawake,sio wanaume,sio mabinti,Wala sio vijana wa kiume Wana sema hawataki
Mitaani Kuna minong'ono mizito na ubaya ukisogea karibu ili uiskilize vizuri Minong'ono hiyo hukoma na watu Wana tawanyika sjui kwanini?
Mitaa inazungumza kwa usiri na kujificha jificha Tena...