Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu ,
Rejea mada tajwa .
Mh aliekua Mbunge wa bunge la JMT ,tulipenda sana tumia jina la mh Bwege, kuna kipindi ndani ya Bunge aliwambia wabunge wa ccm na serikali kwamba tunaanza upyaaa.
Sasa msemo huu leo nawambia pia ccm kwamba tunaanza upya ,drama zao...