Breaking news, interchangeably termed late-breaking news and also known as a special report or special coverage or news flash, is a current issue that broadcasters feel warrants the interruption of scheduled programming or current news in order to report its details. Its use is also assigned to the most significant story of the moment or a story that is being covered live. It could be a story that is simply of wide interest to viewers and has little impact otherwise. Many times, breaking news is used after the news organization has already reported on the story. When a story has not been reported on previously, the graphic and phrase "Just In" is sometimes used instead.
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.
Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.
Amesema kuwa roli likiwa limebeba...
Kumekuchaaa!
Ndege vita hatari ziko njiani kwenda Mashariki ya kati na tayari zimekatiza anga ya Jordan
Iran kuishambulia Israel kutokea Iraq.
========
The United States is continuing to send forces to the Middle East ahead of an expected Iranian attack on Israel, with flight tracking sites...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel halipoi hata kidogo na muda tayari yule Naibu kamanda alihusika na kurusha roketi Israel keshaliwa kichwa
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
3min ago
IDF says deputy commander of Hezbollah’s Bint Jbeil district killed in airstrike yesterday
The...
Wadau hamjamboni nyote?
Hajulikani nani aliyetoa taarifa hiyo iliyoleta taharuki hiyo ila hadi muda huu ofisi hizo huko Beirut zimebaki tupu baada ya Wafanyakazi wote kukimbia ili kuokoa maisha yao
Taarifa kamili tutawaletea
October 17, 2024
Al Jazeera office evacuated in Beirut after...
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.
Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL
Handaki hilo Lilikuwa na...
Wadau hamjamboni nyote? IDF inaendelea na majukumu yake bila kupoa
MUHAMMAD KAMEI NAIM Kamanda Mkuu kitengo cha makombora ya kulipua vifaru cha Hezbollah ameliwa kichwa muda mfupi uliopita
Mungu ibariki Israel
=========
IDF says it killed head of elite Hezbollah anti-tank missile array...
Wadau hamjamboni nyote?
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau ameicharikia UN na kuitaka iondoe mara moja majeshi yake Lebanon akiashiria yamekuwa kikwazo kwenye operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi hao.
Netanyahu amemueleza Antonio Guterres Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa katika ujumbe wa...
Wadau hamjamboni nyote?
Shughuli inaendelea huko Lebanon
Gaidi anaswa live chini ya ardhi huko Lebanon, apelekwa sehemu maalumu kwa ajili ya mahojiano
Mungu ibariki Israel
Taarifa zaidi kwa kimombo hapo chini:
October 13, 2024
IDF troops capture Hezbollah fighter in underground bunker...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel laagiza kuwa wakazi wa vijiji 22 vilivyoko kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao mara moja na kamwe wasithubutu kurejea huko kwa Usalama wao
Kazi ya kuwashughulikia magaidi wa Hezbollah kwenye maeneo hayo ya vijiji kusini mwa Lebanon inaendelea...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel limefanya shambulizi Jirani na ubalozi wa Iran uliopo Damascus Syria na kumuua Jenerali Mohammad Reza Fallahzadeh ambaye ni naibu kamanda kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran
Shambulizi hilo lililotokea katika wilaya ya Mezzah huko Damascus, lilisababisha...
Wadau hamjamboni nyote?
Magaidi watano wenye uraia wa Israel na asili ya kiarabu wamenaswa wakipanga kulipua majengo makubwa zaidi ya kibiashara jijini Tel Aviv
Yasemekana mpango huo haramu.ambaomkama ungefanikiwa ungeleta madhara maafa makubwa walifadhiliwa na magaidi wa kundi hatari la...
Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07...
Wanajeshi 30 wa Israel WAMEUWAWA leo Huko Lebanon kufuatia shambulizi la kushtukiza yaani ambush lililofanywa na Hezbollah,
Hezbollah waliwavamia wanajeshi wa Israel ghafla na kuanza mashambulizi ya kurushiana RISASI kitu kilichopelekea kuuwawa Kwa wanajeshi hao,
Israel Bado haijatoa taarifa...
Wadau hamjamboni nyote?
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel naftal ameishauri Israel kusambaratisha kinu cha kuzalisha nyuklia pamoja na mfumo mzima wa kuzalisha nishati nchini Iran.
Ameongeza kuwa Israel wamepata fursa muhimu sana katika kipindi Cha miaka zaidi ya 50 cha kuweza kubadili sura ya...
Press Tv live breaking news. Hezbollah wanasema Wamepiga direct hit Beit Saida, Yifta Kibbutz Zaoura Base then wamekimbia kusiko julikana.. naona wana mbinu kama za Hamas.
Jeshi la Serikali ya Lebanon limeanza kuondoka maeneo ya Mpakani na Israel kuwafungulia njia IDF wao wanasema hawahusiki...
Wadau hamjamboni nyote?
Makomandoo wa IDF wameanza kulipua mahandaki yanayotumiwa na magaidi wa Hezbollah huko mpakani mwa Israel na Lebanon
Ni maandalizi ya uvamizi kamili unaotarajiwa muda wowote kuanzia sasa.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Israeli troops have entered Hezbollah...
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!
Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
Pia...
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi...
Wadau hamjamboni nyote?
Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli kuwa hali bado ni tete huko Iran
Huku hofu dhidi ya Israel ikiendelea kumeibuka tatizo jipya tena zito
Ziwa kubwa kabisa huko nchini Iran katika hali isiyo ya kawaida limekauka mazima pamoja na juhudi kubwa za kulijaza maji mwaka...
Wadau hamjamboni nyote?
Ahmed Wahabi aliongoza Idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi ya Hezbollah
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
One of those named by Hezbollah, Ahmed Wahabi, is identified by the terror group as a “commander.” Hezbollah rarely refers to its senior...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.