Vuta nikuvute vilio na simazi vimesikika kwa wananchi katika maeneo mbalimbali ya mjini ikiwemo Jangombe Lofi, Michenzani na Kisonge mara baada ya kuvunjiwa Vibanda na Maduka yao na sehemu za biashara yaliyovunjwa na watendaji wa Baraza la Manispaa la Mjini.
Akitowa ufafanuzi juu ya kadhia...