binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Jipatie Orodha ya Makampuni yote ya serika na Mashirika binafsi kwa Urahisi

    National Commercial Directory Ukihitaji namba za shirika lolote lile la kiserikali na baadhi makampuni ya binafsi na hata mashirika yote ya kimataifa utapata hapa www.ncd.co.tz Utapata: -Namba zao za Simu -Sehemu Walipo(ofisi) -Email zao -Website zao Kwa mfano Kwenye Directory yetu...
  2. Q

    Walioacha Ualimu na kukimbilia Siasa au shule binafsi nao wasakwe

    Serikali imeanza kuwasaka madakitari walioacha kazi serikalini kwenda kwenye sekta binafsi. Kuna walimu wengi sana waliosomeshwa na serikali na kuajiriwa serikalini aidha wako kwenye shule za private au wameacha fani zao na kuwa wanasiasa, kama ni hivyo nao wasakwe warudishwe serikalini...
  3. J

    Serikali yapiga marufuku Hospitali Binafsi kupandisha bei kwa wagonjwa wenye matatizo

    Prof. Mchembe amesema serikali imepiga marufuku hispital binafsi kupandisha bei kwa wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Prof. Mchembe amesema ameona kwenye mitandao baadhi ya hospital zimeongeza bei na kutahadharisha kuwa siyo kila mwenye matatizo ya kupumua ana Corona. Source ITV habari...
  4. Mbinu Binafsi dhidi ya Corona

    Mbinu Binafsi Dhidi ya Korona NARUKA!: Haya ni maoni binafsi. Mimi si daktari tabibu wa binadamu (MD). Ukiyafuata yaliyoandikwa humu ni kwa hasara na hatari yako mwenyewe. Yaliyoandikwa humu siyo ushauri wa afya. Pata huduma kwa watoa huduma za afya wanaotambulika na mamlaka husika kwa masuala...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…