biashara afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Waziri wa Mambo ya Nje Ghana ataka nchi za Afrika zilizoathirika na biashara ya utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki kulipwa fidia

    Wakuu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa, ameazimia katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa CELAC uliofanyika Bogotá Machi 22, 2026 la kutambua biashara ya utumwa ya kuvuka Bahari ya Atlantiki kama uhalifu dhidi ya ubinadamu na kuthibitisha haki ya...
  2. sangaima

    Nina serious clients wanaohitaji huduma kukosa ofisi kumekuwa "red flag" inayonikosesha pesa naombeni msaada wadau

    Habari wanajamii Forum. Nimatumain yangu mpo poa na miangaiko ya kila siku. Baada ya salamu niende direct to the point. ( Tafadhali nivumilieni uzi ni mrefu kiasi) Kama title ya uzi wangu invyojieleza. Mimi ni kijana na zaidi ya yote ni mtafutaji, baada ya kuangaika kwa muda mrefu kutafuta...
  3. M

    Tujuzane fursa za biashara Afrika

    Ndugu wa Jamii forums naomba tujuzane fursa za biashara ndani ya Africa kuna mtu alinambia Madagascar kunafursa kubwa ya bishara ya nafaka kwani nchi hiyo hawana elimu ya kutosha kwenye swala la kilimo kwa yoyote anaejua kuhusu Madagascar anaweza kushare chochote tukajifunza.
  4. L

    Afrika yabadili muundo wa uchumi kutokana na ushuru uliowekwa na Marekani

    Hivi karibuni, rais wa Marekani Donald Trump alitangaza nyongeza ya ushuru kwa nchi kadhaa, zikiwemo nyingi kutoka bara la Afrika, na hivyo kuvuruga utaratibu wa biashara ya kimataifa. Wakati Marekani imetoa siku 90 za nyongeza kabla ya ushuru huo kuanza kutekelezwa katika nchi nyingi...
  5. S

    Mimi ni Mtanzania, lakini kwa huu msimamo wa Bashe kwa Malawi huu sio uungwana wala ujirani mwema

    Tanzania inaonekana hatuna sera ya mambo ya nje, tupo tupo tu. Lakini hata hivyo, kauli za Bashe kwa Malawi juu ya Malawi kuzuia uingizaji wa bidhaa za kilimo sio ya kiungwana, na haiakisi -Utanzania tulio nao. Tukio liko hivi, katika kudhibiti matumizi ya fedha za kigeni na kukuza kilimo ndani...
  6. Bilu Magodoro

    Bilu Magodoro

    Agiza Nasi Tukuletee Mpaka Mlangoni Tuna Thamini Usingizi Wako Note:Tunauza Jumla Na Reja Reja Wasiliana Nasi +255 756 180 697 +255 710 116 270 @bilumagodoro Tunapatikana Ukonga,Banana
  7. Mbalizi feedstuff

    Naombeni muongozo kuhusu namna ya kuandika andiko la Mradi

    Kwa kweli sina uzoefu wowote kuhusu jinsi ya kuandika andiko la mradi. Kwa sasa ninahitajika kuandika, lakini sijui nianzie wapi wala niishie wapi. Hivyo basi, kama kuna yeyote hapa ambaye ana uelewa au uzoefu na uandishi wa maandiko ya miradi, naomba sana usisite kunielekeza au kunipa muongozo...
  8. B

    Nimeamua kuachana na white collar jobs je? Ni Chuo kipi kinafundisha vizuri focal lift

    Wakuu Baada ya msoto wa miaka kadhaa bila michongo inayoeleweka Nimeamua kuweka pembeni vyeti vyangu vyangu. Sasa wakuu naomba msaada nitapata wapi Chuo kizuri wanachofundisha focal lift? Ada ni shingapi? na ni muda gani?
  9. Davidmmarista

    Kutoka Juice ya Miwa mpaka Magari 100 ya Mbao – Safari ya Mafanikio ya Chempa!

    Wadau habari za saa hizi ningependa Leo tusambaziane mawili matatu kuhusu biashara ambazo haziku dhaniwa lakini zimetoa watu. Aisee wakuu kuna wakati mwingine maisha yanakufundisha kwamba mafanikio hayachagui kazi, bali ni juhudi, uvumilivu, na akili ya kibiashara. Mimi na Chempa tulianza...
  10. Mindyou

    Kwa mara ya kwanza tangu ipate Uhuru, Senegal imeanza kuzalisha na kusambaza mafuta yake yenyewe! Tani 90,000 zazalishwa

    Wakuu, Kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru Senegal imeanza kusafisha mafuta ghafi ambayo yanazalishwa ndani ya nchi, ikifungua mlango mpya katika sekta ya nishati. Kampuni ya African Refinery Company (SAR), ambayo imekuwa ikifanya kazi tangu 1961, ilitangaza Alhamisi kuwa imefanikiwa...
Back
Top Bottom