beka

  1. Teslarati

    Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

    Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa...
  2. raoka kubanda

    Beka Mfaume(The greatest himself)

    Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD FATHER...TUFANI...DHIHAKA....MARRY MARIAM... na nyingine nyiingi..... napenda kushare na nyinyi hii najua wapo...
  3. Ferruccio Lamborghini

    Riwaya ya beka mfaume: The godfather

    TRENI ya abiria kutoka bara iliwasili kwenye Stesheni ya Dar es Salaam majira ya saa tano asubuhi. Kuwasili huko kuliwafanya baadhi ya watu waliokuwa wakisubiri, kuanza kuangalia kwenye madirisha ya mabehewa ili kuwaona wageni wao. Treni hiyo iliposimama kukaligeuza eneo hilo kuingia kwenye...
  4. StarBoy Tv

    Natafuta Adsense Accaunt Mwenye nayo tuwasiliane Call...0718972977..or 0754366327

    Natafuta Adsense Accaunt Mwenye nayo tuwasiliane Chap...Call...0718972977..or 0754366327
Back
Top Bottom