Nina kesi na Bank ya Nmb yapata wiki sasa.
Eti wadau, huwa mnatatua vipi kesi zenu na hii Bank?
Kesi hiko hivi,
Nilifanya muamala kutoka Nmb Mkononi kwenda prepaid card, 1mil + jpili iliyopita.
Mpaka leo, ni siku saba sasa, lakini muamala huo bado haujatimia, wala fedha hazijarejeshwa...