askofu josephat gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Nje ya Wakatoliki, Gwajima ndiye askofu namba moja Heavyweight anayeweza kuongoza kikosi cha mashambulizi ukawa na uhakika wa ushindi

    Bado tupo sikukui ya Eid! 1. Ukitoa Wakatoliki ambao wao wanaenda kwa mfumo. Wanabebwa na Mfumo wao wenye nguvu. Jambo ambalo viongozi wa kisiasa hujifikiria mara tatu tatu wanapotaka kuwakabili. 2. Kwa Tanzania, ukitoa hao Wakatoliki wenye mfumo. Kwenye Dini, Gwajima ndiye Mtanzania pekee...
  2. Tlaatlaah

    Tujikumbushe askofu josephat Gwajima alivyo mdhihaki hayati Kadinali Polycarp Pengo enzi za uhai

    Miaka kadhaa iliyopita, Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima, alitoa wito kwa makanisi mbalimbali ikiwa ni paomoja na kanisa katoliki kwa ujumla, kutokumuheshimu kadinali Polycarp Pengo kutokana na misimamo yake kijamii, kisiasa na kiuchumi isiyoyumba. Gwajima alidai Kadinali...
  3. The Palm Beach

    Askofu Gwajima: Kuua watu wasio na hatia kwa risasi ni laana katika nchi. Wote walioua wasipotubu nao watauawa kwa namna na jinsi ileile!

    MADHARA YA KUMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA KULIKOFANYIKA KTK NCHI YETU Baadhi ya Nukuu ktk hotuba hii: Askofu Gwajima: "...Haiwezekani unamuona mama mmoja anaenda shambani au kwenye shughuli zake Kisha anapigwa risasi anakufa. Au baba mmoja yumo ndani ya nyumba yake tena uvunguni anafuatwa...
  4. The Palm Beach

    Askofu Josephat Gwajima: Mlipaswa kunisikiliza. Hata hivyo itakuwa vilevile kama nlivyowaeleza...!

    https://youtu.be/4ZAYXzEBXt8?si=izBx2goyWhBTHUYH RV Mahuburi ya Askofu Josephat Gwajima Jana katika mkesha wa mwaka mpya kanisa GCTC - UFUFUO NA UZIMA yalikuwa too philosophical, indirectly yakiwalenga watesi wake - CCM, Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake... Soma pia PreGE2025 - Askofu...
  5. The Palm Beach

    VIDEO: Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima kuzungumza na Watanzania ktk Mkesha wa mwaka mpya

    https://youtu.be/DQve6MgYYtU?si=gSHWEMj76INC8rxZ Hatimaye tutamuona tena....!! Baba Mungu wa mbinguni katika Yesu Kristo kampa Green Light ya kutoka na kuzungumza tena na Watanzania na ulimwengu baada ya kuwa ktk faragha ya pekee na Mungu Yehova kwa takribani miezi mitatu tangu tarehe...
  6. U

    Askofu Josephat Gwajima: Walioua vijana wetu ili kujipa madaraka ya uongozi haramu kwa upanga nao watakufa kwa upanga!

    Mwanzo 9:6 NMM “.....Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu, damu yake itamwagwa na mwanadamu, kwa kuwa katika mfano wa Mungu, Mungu alimuumba mwanadamu..." Na Mungu si mwanadamu hata aseme uongo. Kila alichosema na kukiahidi hakika atatenda na kukitimiza maana yeye ni MUNGU wa HAKI Wenye akili...
  7. The Palm Beach

    Askofu Josephat Gwajima: Yamemitia! Hutoboi kama mfalme Uzia asipokufa kwanza na kuondoka!!

    Isa 6:1-3 SUV ".....Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu. Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili...
  8. R

    GE2025 Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa: Jamii imeanza kumuona Askofu Gwajima kama Mpuuzi Fulani

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhili Maganya akiwa katika Kipindi cha mahojiano cha Medani za Siasa akijibu swali la Mwandishi wa Habari Edwin Odemba ikimtaka atoe maoni yake kuhusiana na Hoja na kauli za aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat...
  9. The Palm Beach

    GE2025 Askofu Josephat Gwajima: Nashauri tena, tusiingie kwenye uchaguzi pasipo kufanya minimal electoral reforms

    Askofu Gwajima: Hebu CCM tumieni vichwa vyenu kufikiri na kuamua vizuri. Madai ya CHADEMA yana msingi hata kama una kiwango cha chini kabisa cha elimu kuyapima na kuyaelewa.. Askofu Gwajima: Hebu jaribu kufikiri hili. Kwamba, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya sasa ni mteule wa Rais Samia ambaye...
  10. The Palm Beach

    Askofu Gwajima: Aliondoka mfalme Nebukadneza na Farao, sembuse huyu? Asimulia yaliyompata wakati wa utawala wa Magufuli

    https://youtu.be/wTlcAdvtS90?si=M-MdUGulyP_bLNkx Kufungwa kwa makanisa ya GCTC - Ufufuo na Uzima na onyo la mwisho kwa Samia Suluhu Hassan👇🏻👇🏻 https://youtu.be/k61Zm2GBR9c?si=8U10dcRJs5FdX31j PART I Anasema👇🏻👇🏻 ➡Kuna watu hawajui yaliyotukuta wakati wa u - utawala na u - Rais wa John P. Magufuli...
  11. The Palm Beach

    Ni siku ya 17 leo Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC hajaonekana? Wewe unafikiri yuko wapi? Nitakupa Jibu hapa hapa 👇

    1. Jumapili ya tarehe 1/6/2025 katika Ibada ya siku ya Bwana alitangaza mfungo wa siku 7 mchana kisha jioni unafungua kwa Aidha kunywa maji au chakula chepesi kama uji nk 2. Lengo la mfungo lilikuwa kuombea taifa, kuombea viongozi wa vyama vya siasa vyote, kuiombea serikali yetu na Rais Samia...
  12. Waufukweni

    Askofu Gwajima kuongoza Ibada ya Jumapili Juni 15, itafanyika Jimbo Kuu Dar Saa 4 Asubuhi

    Wakuu! Kesho Ibada ipo na itaongoza wa na Askofu Gwajima baada ya kutangaza ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwa atakuwepo kwenye Ibada ya Jimbo kuu la Dar es Salaam Jumapili Juni 15 na itaanza saa 4 Asubuhi Pia, Soma Peter Kibatala: Barua ya kulifungia Kanisa la Askofu Gwajima si halali na...
  13. mshale21

    Tetesi: Askofu Josephat Gwajima kesho ataongea anakuja na the great come back kupitia Yuotube

    Wapenda haki kesho tumuunge mkono, kuna come back sio ya kitoto, yaliyofichwa yatafichuliwa, aliahidi kuwa atapigana hadi watekaji wajitokeze
  14. M

    Hivi intelejensia ya Tanzania imeshindwa kufahamu alipo Askofu Josephat Gwajima?

    Kauli ya mkuu wa wilaya ya Ubungo, Mh.Albert Msando imetushtusha sana pale aliposema kuwa hafahamu alipotokomea Mbunge wa jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima. ina maana vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa kabisa kufahamu alipojificha kiongozi huyu?
  15. mshale21

    Yuko wapi Askofu Josephat Gwajima?

    Wakuu , hivi Askofu Gwajima yuko wapi? Toka usiku wa kuamkia leo alipoonekana akitoa update za wasiojulikana wanaojulikana kama polisi hajaonekana tena! Je, wametembea nae? Je, alichochora akapita katikati yao akaenda zake ? Ama namna gani ndugu zangu?
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Askofu Mwanamapinduzi: Msijaribu kumjibu Askofu Gwajima kwa pupa, wala kumbambikiza Kesi, sio wa mchezo

    Askofu Mwanamapinduzi ametoa tahadhari kali kwa wale wanaojaribu kumjibu au kumshambulia Askofu Josephat Gwajima kufuatia kauli na hoja alizozitoa hivi karibuni, akisema si mtu wa kubezwa wala wa kuchukuliwa kawaida. Katika kauli yake, Askofu Mwanamapinduzi amesema hoja alizotoa Gwajima ni...
  17. The Palm Beach

    PreGE2025 Askofu Josephat Gwajima: Mimi ni Jasusi la Mbinguni. Fanyeni lolote, niko tayari kwa lolote, isipokuwa jambo moja tu, Sifi

    Sasa yamewadia majira na nyakati za watu kupata majibu ni kwanini Mch Josephat Gwajima aliiamua kuingia kwenye siasa za tawala za nchi hii kwa 100% tena kupitia Chama Cha Mapinduzi - CCM uamuzi ambao kila mtu alishangaa na kusema lake... Sasa umefika wakati wa kupata majibu yake... Kutoka...
  18. The Palm Beach

    PreGE2025 Askofu Josephat Gwajima: Kwasasa mnaniona kama mchelemchele wa kwenye TV ambayo dish lake lililoyumba. Baadae mtanielewa

    Ujumbe wote usikilize Anasema, akisema kitu habahatishi. Ametumwa kuibadilisha nchi hii! Kwasasa mnaniona kama mchelemchele wa kwenye TV ambayo dish lake lililoyumba. Baadae mtanielewa
  19. The Palm Beach

    Duuh, Kumbe Rais William Ruto wa Kenya ni mlokole kama alivyo Askofu Josephat Gwajima?

    Hapa Rais William Ruto anaimbisha wimbo wa TENZI ZA ROHONI Na. 116 "Bwana u Sehemu yangu" Ikulu kabla ya kuanza kikao... Ni katika kikao hiki alitamka rasmi kusema; "...Watanzania, kama kuna mahali tumewakosea, mtusamehe maana si majirani na Biblia - Neno la Mungu Tazama ilivyo vyema ndugu...
  20. mshale21

    PreGE2025 UVCCM Dar watoa msimamo kuhusu Gwajima, wataka akamatwe akaisaidie polisi kuhusu utekaji

    Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam imetoa wito mzito kwa Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kutofika katika ofisi yoyote ya CCM ndani ya mkoa huo kuchukua fomu ya kuwania tena ubunge kwa mwaka 2025. Msimamo huo umetolewa siku ya...
Back
Top Bottom