amani ya nchi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Samia na CCM mnatumia nguvu ya dola kulazimisha uchaguzi ufanyike jinsi mnavyotaka, Je, hamuoni mnahatarisha amani ya nchi? Je, hii ni Haki?

    Maoni yametolewa, Ukweli unaonekana hata na mtoto mdogo anaweza kutambua changamoto kubwa inayoipa doa tume ya uchaguzi na kuifanya kuwa batili na isiyoweza kusimamia haki. TEC wametoa maoni yao, Waziri mkuu mstaafu Warioba ametoa msisitizo huo, vyama na taasisi mbalimbali wamesisitiza kwamba...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa Watanzania wote Wanaopenda Haki na Amani ya Nchi yetu Tuombe BBC Africa Eye Documentary waingie site watusaidie?

    Hii ndio njia pekee na dawa ya Mua40 Itakayokomesha hicho kikundi cha kigaidi kisichojulikana na vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania. Kinachoteka watu mchana-usiku kupoteza na kuua raia Nchini Tanzania kilichoanza KAZI kuanzia serikali ya awamu ya tano na awamu hii ya sita kikapewa na kinga...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mohamed Haji: Tumekuja Kizimkazi kufanya Dua kumshtakia Mungu Amani ya nchi

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion Mohamed Haji amefunguka dhamira ya kufanya Dua maalum Kizimkazi Zanzibar, na kusema kuwa Dua hiyo ni kumshtakia Mungu kuendelea kutupa Amani nchini Pamoja na kuwalinda Viongozi wa Serikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti UVCCM Mohamed Kawaida: Vijana msitumike kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo kuelekea uchaguzi 2025

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi UVCCM Taifa, CDE. Mohamed Kawaida amewataka Vijana nchini kutojiusisha na kuvuruga amani ya nchi tuliyonayo katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2025. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi: Kutokuwepo kwa amani kunaharibu ndoto ya maendeleo

    Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Watanzania kujitokeza katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na kuendelea kudumisha amani, akieleza kuwa kutokuwepo kwa amani kunaharibu ndoto ya maendeleo. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Siku za karibuni ITV imekuwa shabiki wa siasa za hovyo

    Siku za karibuni ITV imekuwa shabiki wa siasa za hovyo za watu kama Lissu, chombo hiki kinajua kabisa Lissu kauli zake ni hatari kwa utulivu na amani ya nchi. Badala waelimishe wananchi wamekuwa chombo cha kuokoteza kila kikundi kinachoenda kinyume na jitihada za serikali. Wajitathmini...
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Askofu Mhashamu Wolfgang: Ni jukumu letu sisi wananchi kulinda amani ya nchi yetu kwa sababu amani inapatikana kwa shida sana

    "Ni jukumu letu sisi wananchi kulinda amani ya nchi yetu kwa sababu amani inapatikana kwa shida sana na tukiipoteza hatutaipata" Rais wa TEC na Askofu wa Jimbo Katoliki Lindi, Mhashamu Wolfgang Pisa.
Back
Top Bottom