Kiongozi wa Wiper Patriotic Front, Kalonzo Musyoka, ameweka mezani ajenda yake ya vipengele 13 anayoita “People’s Budget”, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027.
Kalonzo amesema mpango huo ni mbadala wa Vision 2026 ya Rais William Ruto, akisisitiza kuwa Kenya haihitaji “kubadilisha jina”...