Wombo (stylized as WOMBO) is a Canadian image manipulation mobile app released in 2021 that uses a provided selfie to create a deepfake of a person lip-synced to a variety of songs.Shutdown on May 3 2023,and unvalivable on August 1,2023
Nilikuwaga napenda sana kusoma vitabu lakini kiingereza chetu tulichokizoea shuleni na vyuoni bado kipo shallow sana, kila nikisoma kitabu nakutana na misamiati mipya, nilikuwa nachoka.
Siku hizi kuna AI yani nikikuta misamiati au sentensi ngeni naipaste to kwenye chat gpt, naelewa fasta
Katika dunia inayoendelea kitechnology teknklojia imekuwa msaada mkubwa kwa wale wanaotaka kusonga mbele.Ila bhana kwa upande mwingine imeanza kuwa kikwazo kwa wale wasiotaka kujifunza na kubadilika. Leo tuongee kidogo nadhani ushawahi kuona makala mahali unakutana na wajinga wanasema "AI...
Hii akili mnemba au akili bandia( AI ) Imekuwa shida sasa
================
Mwanamke aitwae Megan Garcia wa Florida Nchini Marekani, amefungua kesi Mahakamani kuishtaki Kampuni moja ya California iliyotengeneza Chatbot ambayo amedai imesababisha kifo cha Mtoto wake kiume aitwae Sewell Setzer...
Mwaka 2010 asilimia 5% tu ya biashara zilikuwa zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 98% ya biashara zote zinatumia social media.
Leo 2024 asilimia 5% tu ya biashara zinatumia AI
Kama unataka kuanza freelancing
Hii ndo niche sahihi ya kuishi nayo miaka kumi ijayo.
Karibu DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.