abdul nondo

Abdul Nondo (full name often Abdul Omary Nondo) is a prominent Tanzanian opposition youth leader and activist, currently serving as the National Chairperson of the Youth Wing (Ngome ya Vijana) for the opposition party ACT Wazalendo.

He has been a vocal critic of the government, particularly under President Samia Suluhu Hassan, focusing on issues like youth empowerment funds, economic opportunities for young people, informal sector challenges, transparency in government programs (e.g., the Shilingi Bilioni 200 youth/women empowerment funds), and alleged human rights abuses.

Background and ActivismEarlier in his career (around 2018), he was a human rights defender and Chairperson of the Tanzania Students' Networking Programme (TSNP) while a student at the University of Dar es Salaam.

He advocated for student rights, democracy, and against police brutality (e.g., criticizing extra-judicial killings during political events). He faced legal troubles, including charges from which he was acquitted in 2021, allowing him to resume studies and rebuild his life.


He has been involved in multiple reported abductions/kidnappings, which he and his party attribute to state-linked actors as retaliation for his criticism:In March 2018: Abducted by unknown assailants and released in a remote area far away.

Most notably, in late November/early December 2024:

Allegedly abducted from a bus station in Dar es Salaam while campaigning, severely beaten, and dumped at Coco Beach (or near party HQ in Magomeni) after about 18 hours. He was hospitalized with injuries. This incident drew international attention from outlets like BBC, Front Line Defenders, and others, amid a pattern of opposition abductions (including the killing of another figure in September 2024). Police launched investigations but opposition sources claim no accountability.


In interviews (e.g., on Jambo TV in February 2026), he described the torture as painful and memorable, rejected claims that such events were staged for publicity, and vowed to continue speaking out: "If they want to kill me, let them kill me, but I cannot keep quiet. This is my country."
  1. Mindyou

    Abdul Nondo: Torture unayopata ukiwa chini ya watekaji inaumiza sana. Kuna matukio mawili ya mateso hadi leo nayakumbuka

    Wakuu, Hapa Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT anasimulia matukio mawili ambayo yalimtisha sana baada ya kutekwa mwishoni mwaka 2024 mara baada ya kumalizika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Soma Pia: Nondo: Kumekuwa na mfululizo wa Matukio ya utekaji lakini serikali na...
  2. Mafyangula

    PostGE2025 Nondo: Serikali itoe fidia kwa familia waliofiwa ndugu zao, walipata ulemavu kutokana na yalitokea kwenye maandamano oktoba 29

    Akizungumza na Wanahabari leo, Novemba 12, 2025, jijini Dar es Salaam, Nondo amesema inapaswa kutolewa fidia kwa watu walipoteza wapendwa wao kutokana na kuwawa katika maandamano, lakini waliopata ulemavu na hata walipoteza mali zao. Aidha kwa upande mwingine Nondo amesema maridhiano ya kweli...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Abdul Nondo awavaa UVCCM 'Kuweni na Utu' acheni kuhalilisha vifo vya raia

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama cha ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, amelaani vikali vifo vya wananchi waliouawa kwa risasi wakati wa maandamano yaliyofanyika nchini, akisema kuwa hakuna sheria inayoidhinisha mtu kuuawa kwa kutokana na kile alichokitaja ‘kuandamana bila kibali’...
  4. R

    GE2025 Nondo: Kumekuwa na mfululizo wa Matukio ya utekaji lakini serikali na bunge ipo kimya, hakuna uchunguzi

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo Taifa, ambaye pia ni Meneja wa Kampeni wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Abdul Nondo, amesema miaka mitano iliyopita ya uongozi nchini imeshuhudia ongezeko la matukio ya utekaji watu bila hatua madhubuti kuchukuliwa, huku...
  5. R

    GE2025 Abdul Nondo: Zitto ana uwezo wa kupambana na Mafisadi

    Abduli Nondo ambaye ni Meneja Kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma mjini, Zitto Kabwe. Amewaomba wananchi kumrejesha bungeni ili akapambane na ufisadi kulingana na historia yake katika kupambana na vitendo hivyo. Nondo ametoa kauli hiyo wakati akimnadi mgombea huyo katika mkutano wa...
  6. R

    GE2025 Nondo: Kigoma hatupeleki wagonga meza (Baba Levo), Tunapeleka Wapambanaji (Zitto)

    Abdul Nondo, Meneja wa Kampeni wa Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, amecheza sauti za zamani za msanii Baba Levo mbele ya wananchi wa Kata ya Bangwe, zikionesha kauli zake za kumsifia Zitto Kabwe Akizungumza na wakazi hao, Nondo amesema “Zitto amekuwa sauti ya...
  7. BigTall

    GE2025 Abdul Nondo amjibu Mwanasheria Garatwa kuhusu suala la Luhaga Joelson Mpina

    ABDUL NONDO AMJIBU MWANASHERIA GARATWA KUHUSU SUALA LA MH.LUHAGA JOELSON MPINA. Salaam, ndugu Mwanasheria Garatwa. Nimeona andiko lako na uchambuzi wako juu ya suala la kuenguliwa mgombea wetu wa kiti cha Urais ,Mh.Luhaga Joelson Mpina huku ukielekeza lawama kwa chama chetu kufuatia kinachoitwa...
  8. Waufukweni

    GE2025 Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameibuka kidedea katika mchakato wa kura za maoni za kuwania Jimbo la Kigoma Mjini uliofanyika jana Jumanne Agosti 12, 2025. Katika mchakato huo uliofanyika mkoani Kigoma, Zitto ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo, alipata kura 228...
  9. Roving Journalist

    GE2025 Abdul Nondo aungana na Zitto kulitaka Jimbo la Jimbo la Kigoma Mjini, asema "Baba Levo ni kama Kinyago kilichochongwa na ACT"

    Ndugu wananchi na wanachama wa Jimbo la Kigoma Mjini leo tarehe 15/Julai /2025 ambayo ni siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu ndani ya chama chetu nimechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 ibara ya 21 na Katiba ya chama...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Abdul Nondo: Wanaohamasisha kususia uchaguzi wanaipa nguvu CCM

    Mwenyekiti wa Taifa wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo, amesema kuwa watu wanaowahamasisha wananchi kutoshiriki kupiga kura wanakipa nguvu Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa sababu hatua hiyo huongeza nafasi ya chama tawala kuendelea kulitawala bunge bila ushindani. Akihutubia mkutano...
  11. M

    PreGE2025 Nondo: Kigezo cha Ubunge iwe Digrii au Diploma

    Nadhani Mbunge awe na degree au diploma kwa sababu kuna mikataba inaingizwa mule bungeni, usipokuwa na elimu na information za kutosha tutajikuta tunatunga sheria haziendi kuleta maslahi na Ustawi wa wananchi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
  12. W

    Abdul Nondo awataka Watanzania wote kuungana kukemea utekaji

    Mwenyekiti wa ngome ya vijana akizungumza na waandishi wa habari leo January 9,2025 amesema kuwa “Naomba niwaambie watanzania suala la ulinzi na usalama ni jambo ambalo tunapaswa tuungane kwa pamoja kupaza sauti zetu kupinga kukemea haya matendo. Na wala tusiseme kwamba haya matukio yanatokea...
  13. W

    PreGE2025 Abdul Nondo: Kama matukio ya utekaji ni ya kutengenezwa, tuambiwe aliyemteka Soka

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo akizungumza na wanahabari leo januari 9, 2024 amesema kuwa “kumekuwa na mwanya wa dhihaka na propaganda kwamba matukio haya ya utekaji sio ya ukweli ni ya kutengeneza ntu anawezaje kutengeneza kujiumiza, mtu anawezaje kutengeneza kujiumiza mguu...
  14. Papaa Mobimba

    Abdul Nondo: Masharti yote niliyopewa na watekaji nimeyavunja, vyombo vya mamlaka vilitaka viseme ni tukio la kutengeneza

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo akiongea na wanahabari leo, amesema kuwa baada ya kutekwa na kuteswa na baadaye kutelekezwa Coco beach wilaya ya Kinondoni, alipewa masharti kadhaa ambayo aliambiwa kama hatayatimiza basi atauawa. Walioniteka awalikuwa wakiniambia mimi...
  15. Waufukweni

    Abdul Nondo wa ACT Wazalendo atoa tamko kuhusu kutekwa kwake Stendi ya Magufuli

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo, anatoa tamko muda huu kuhusu kutekwa kwake Stendi ya Magufuli. Fuatilia hapa akitoa tamko lake https://www.youtube.com/live/LyTw1PpXT4I?si=Ze8FhWkwx-7UfKkb "Baada ya kutekwa katika stendi ya Magufuli mashuhuda waliotoa taarifa ndio...
  16. Suley2019

    Abdul Nondo: Nilikatazwa nisizungumze lakini siwezi kuwatii Watekaji

    Wakuu, Leo kupitia Crown Media Abdul Nondo amefunguka kuhusu sakata lake la Utekaji. Amesema hawezi kuwatii Watekaji ambao walimwambia akizungumza Watamuua. Amesema kuwa Hata kama watamteka tena basi Wacha maandiko yatimie lakini hawezi kuacha kuzungumza. Msikilize mwenyewe hapo chini...
  17. Roving Journalist

    ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

    Abdul Nondo akutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo Taifa Ndg. Abdul Nondo jana tarehe 03 Disemba 2024, alifanyiwa upasuaji mdogo kwenye unyayo baada ya madakatri wanaomuuguza katika hospitali ya Aga Khan kubaini uwepo wa mivunjiko midogomodogo...
  18. Waufukweni

    Ado Shaibu awataja wanaodaiwa kumteka Abdul Nondo, "Wakimpiga Nondo mmoja wanazaliwa 100, Hatutoogopa"

    Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amewataja watu waliomteka na kumtesa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama hicho, Abdul Nondo, akisema kuwa licha ya mateso hayo, chama hakitogopa wala kutojiweka pembeni. Akiwa katika mkutano hapo jana (Disemba 3), Shaibu alisema kwamba "wakimpiga...
  19. M

    Je, ishu ya Adani kupewa kitengo cha makontena ndiyo iliyosababishwa Abdul Nondo atekwe?

    Connecting dots.. Kama kuna wanasiasa nchini walioisanua ishu ya ADANI kupewa kitengo cha makontena bandarini, basi ni Abdul Nondo. Wakati ule sisi tukiwa busy na ishu ya bandari (kubwa) waliyochukua DP World, huku nyuma serikali ya Bongo fasta fasta ilikuwa ikimsogeza ADANI Jikoni ili apewe...
  20. J

    Sugu: Sasa Dogo Abdul anakuwaje tishio kwa watawala? Napata shaka maana kuteka, kuumiza na kuua Watu siyo maamuzi ya Kitanzania

    Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu ameshangaa Watawala wanamhofia nini Dogo Abdul Nondo Sugu amesema ana wasiwasi na uraia wa Watekaji kwa sababu kuteka, Kuumiza na Kuuwa siyo maamuzi ya Kitanzania Sugu amelia sana huko Ukurasani X Kuhusu Abdul Nondo kudaiwa...
Back
Top Bottom