abbas tarimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Tarimba: Kiongozi wa nchi lazima aheshimiwe, asidharauliwe, sisi tupo kumlinda

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Abbas Tarimba amesema hawezi kukaa kimya atakapoona kuna watu wanamkosea heshima kiongozi wa nchi. Soma: Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi Tarimba ametoa kauli hiyo leo Oktoba 21, kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais wa...
  2. Waufukweni

    GE2025 Tarimba anasikitika Wananchi wake kukosa Maji, kama hakuwa Mbunge akijinadi kusimamia Uwajibikaji Kinondoni

    Mgombea wa ubunge jimbo la Kinondoni Jijini Dar es asalaam kupitia chama cha mapinduzi CCM Abbas Tarimba amezindua rasmi kampeni za siasa kuelekea uchaguzi mkuu akijinadi kusimamia uwajibikaji endapo atapewa ridhaa ya kuongoza jimbo kwa muhula mwingine. Katika mkutano wake wa hadhara ulifanyika...
  3. R

    GE2025 Mgombea Ubunge CHAUMMA Jimbo la Kinondoni ajinadi kumng'oa Abbas Tarimba wa CCM

    Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CHAUMMA Moza Ally amesema amejipanga kushinda Jimbo hilo, licha ya ugumu wa Mbunge wa sasa anayewakilisha Chama tawala. Moza amesema anafahamu matatizo mengi ya watu wa Kinondoni hivo itakuwa kazi nyepesi kwake kufikisha matatizo yao BUNGENI na...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Tarimba: Wameniita mpaka Mponjoro, lakini nitaendelea kumtetea Rais wangu

    Akizungumza Jumatatu, tarehe 23 Juni katika Ukumbi wa Ubungo Plaza, Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba, aliongoza mkutano wa uwajibikaji kuhusu utekelezaji wa ilani ya CCM kwa kipindi Cha miaka mitano . Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa Issa javu, Katibu wa NEc Oganalzesneni wa CCM ambaye...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tarimba: Nimejitoa mhanga kwa atakaye mtingisha rais Samia nae ntamtingisha

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarimba amesema amejitoa mhanga kwa atakaye mtingisha rais Samia nae atamtingisha. Nataka niwaambie katika historia ya karibuni hakuna utekelezaji ulifana zaidi kuliko utekelezaji wa mwaka 2020- 2025, na tumpongeze sana rais Samia kwa sababu ni kiongozi...
  6. Just Pray

    Mbunge Abbas Tarimba apendekeza wabunge wapewe 'plate number' maalumu ili magari yao yatambulike barabarani

    Wakuu huyu hawa wabunge kutwa wanafikiria kunyoosha njia zao wanasajisahau sana, kuna mwingine alitaka bima yao irefushwe kupita muda wa kawaida kisa anaogopa akiugua akiwa kwenye kampeni wakati hou kipindi chote alipata mshahara mnono na Pensheni la kucheba. Leo Mbunge wa Kinondoni Abbas...
  7. DuaZaMama

    PreGE2025 Mchungaji Hananja achukizwa na kauli ya Askofu Gwajima kumwita Mbunge wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro"

    Mchungaji mstaafu wa kanisa la kiinjili la kilutheri( KKKT) nchini Mchungaji Richard Hananja amechukizwa na kauli ya Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe ya kumwita Mbunge huyo wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro" akiwa madhabahuni kuwa ni matumizi ya madhabahu kama sehemu ya kufanya...
  8. evangelical

    University of Dar es Salaam Toeni Tamko Kuhusu Taarifa Za Mbunge wa Kinondoni Kusoma Degree ya Kwanza Na ya Pili Hapo UDSM

    Kumekuwapo na kawaida ya baadhi ya wanasiasa wasiokuwa waadilifu kutoa taarifa za uongo kuhusiana na elimu zao kwa sababu zao binafsi. Mbunge wa Kinondoni Taarifa ya Elimu yake kwenye website ya bunge ilionyesha amesoma shahada ya kwanza na ya Pili chuo kikuu cha dar es salaam. Baada ya watu...
  9. B

    PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Baada ya Mbunge Tarimba kutrend kutokama na elimu yake kuwa na mashaka, taarifa zake zimeeditiwa katika website ya Bunge, lakini bado maswali ni mengi. - Kwanza chuo kimebadilika kutoka UD mpaka Tumaini! - Ile masters imeyeyuka shwaa, tumerudi kwenye degree, diploma na cheti. - Tatizo...
  10. Nucky Thompson

    Mnaomshambulia Abbas Tarimba, anajua uchungu wa mwana kuliko nyie, alishawahi kupoteza watoto wawili kwa mpigo

    Mbunge wa Kionondoni, Abbas Tarimba anajua uchungu wa kupoteza watoto, na sio mtoto tu, bali watoto wasomi wanaochangia katika ujenzi wa taifa Nimemsikiliza kwa umakini akisimulia mwaka 2019 alivyopoteza watoto wake wawili wa kiume ndani ya miezi minne tu. Chanzo cha vifo vyote ni homa ya...
  11. The Palm Beach

    Wewe unafikirije juu ya Abbas Tarimba. Unadhani alikuwa timamu kiasi gani alipotamka haya maneno?

    Hivi hii tuiteje kweli? Kufuru dhidi Mungu Yehova, ujinga, upumbavu au ni kilele cha kiburi cha CCM na watawala wao..? Mimi nimejaribu kufikiri huyu mbunge alikuwa amefikiri nini kumtetea Rais Samia Suluhu Hassan against Askofu Josephat Gwajima kwa kauli yake hii...? Je, ubinadamu wa mtoto wa...
  12. Bila bila

    Abbas Tarimba, wewe uko tayari mtoto wako afe badala ya mtoto wa boss wako?

    "Mtu anatolea mfano mtoto kipenzi wa rais et akitobolewa macho itakuwaje? Huu ni utovu mkubwa wa nidhamu anajua uchungu wa kulea kweli? Nashauri chama changu kimuite kamati ya maadili achukuliwe hatua hatuwezi kuwa na mtu ana kadi ya chama halafu anatusumbua"_kauli ya mbunge wa jimbo la...
  13. Zee la madawa

    Hivi mbunge wa Kinondoni yuko sawa kichwani kweli? Mtoto wa Rais ndiyo nani kwenye nchi? Wazazi wa watoto wengine wao hawana uchungu?

    Nchini Tanzania, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarimba amemshutumu vikali mbunge mwenzake wa chama tawala CCM kwa kukosoa juhudi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan huku akiziomba mamlaka kumchukulia hatua. "Kuna mtu mmoja humu ndani mwenzetu, mbunge, tena ana nafasi ya kuzungumza...
  14. Carlos The Jackal

    Tarimba kawatusi Watanzania ,Wazazi wote na hata Rais mwenyewe. Uchungu wa Samia Kwa Abdul, ndio Uchungu wa Wazazi walotekewa watoto wao!

    Kwamba, Kwa Mfano Abdul akitobolewa macho , Ni uchungu sana Kwa Mzazi. Ila Mdude kavunjiwa Nyumba, kabebwa, kapigwa ,Damu zimetapakaa nyumba nzima, Mzee Kibao kauwawa, Hawa wote sio kitu Kwa WAZAZI NA FAMILIA ZAO?. CCM Kuna wakati muwe mnawaita Wabunge wenu kwanza na Wanachama, mnawapiga msasa...
  15. chiembe

    PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

    Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo. Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha...
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Kinondoni: Mbunge Abbas Tarimba amwaga mitaji kwa Mama Wajasiriamali 54 Kata ya Mzimuni

    Wakuu Mbunge wa Kinondoni Mhe Tarimba Abbas amekutana na akina Mama wapatao 54 wa Kata ya Mzimuni na kuwapatia mitaji kuendeleza shughuli zao za ujasiriamali. Pia, Soma Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa
  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Abbas Tarimba ashiriki hafla ya kugawa futari kwa Wananchi wa Kata ya Mzimuni waliofunga mwezi huu wa Ramadhan na Kwarezima

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Mhe. Abbas Tarimba ameshiriki hafla ya kugawa vitu mbalimbali kwa ajili ya futari kwa Wananchi waliofunga mwezi huu wa Ramadhan na Kwarezima iliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Mzimuni Mhe. Manfred Lyoto. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Tetesi: Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa

    Wakuu Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa...
  19. Cute Wife

    LGE2024 Kindononi: Mbunge Abbas akabidhi feni kwaajili ya ukumbi wa mikutano, agharamia na ufungaji wa feni hizo

    Wakuu, Ukisikia vituko majimboni ndio hivi :BearLaugh: :BearLaugh: , mwenyewe yuko proud hapo kwenye picha hana hata haya:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh: ==== Mbunge wa Kinondoni Mhe. Tarimba Abbas, akimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Magomeni Bw. Mohamed Mwinyi, Mafeni sita kwa ajili...
  20. Chizi Maarifa

    Kama Mwanayanga SC siwezi kumpigia kura Abbas Tarimba kwa nafasi yoyote TFF

    I declare Interest. Mimi ni Mwanayanga mpenzi wa mchezo wa Mpira wa Miguu. Nmemsikia Tarimba Abas akiwa Bungeni na pia akihojiwa na vyombo vya habari. Ukimwona Bwana Tarimba kabla hajaongea unaweza sema atakuwa na Busara au Akili. Akija kuongea utasikitika na kujiuliza kwa nini ameongea? Ni...
Back
Top Bottom