bcsolution
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 394
- 177
Hivi hawa jamaa wa DSTV kwanini bei zao ziko juu sana, ni kodi wanayolipa au nini? Kama ni kodi wale GTV walikuwa hawalipi kodi? Mimi sio mpenzi wa mpira na sisemi hivi kwa sababu nimeshindwa kulipia DSTV. Basi tu nimekuwa nikijiuliza kwa nini hawa ghali sana na wanaenda na dola kila siku wanaangalia rate ya dola. Nawaonea huruma wapenzi wa mpira wanavyoteswa na hawa DSTV. Kila chenye mwanzo kina mwisho, itafikia tu siku watatafuta wateja na wasiwapate kama ilivyo mabenki sasa na mpesa, tigopesa. Yaani DSTV ni kampuni kubwa sio tu Tanzania ila Africa nzima. Nadhani hata wakifanya elfu 50,000 tshs kwa kila mteja na bado itawalipa., lakini bei zao za kubagua wasionacho...
Dstv mnawatesa vijana wenu wa mauzo
Poleni Dstv mjiandae kisaikolojia kukosa wateja.
Dstv mnawatesa vijana wenu wa mauzo
Poleni Dstv mjiandae kisaikolojia kukosa wateja.