Mimi kama mzanzibara najiona sina cha kutumaini kwenye muungano huu endapo.....

Mimi kama mzanzibara najiona sina cha kutumaini kwenye muungano huu endapo.....

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
18,775
Reaction score
15,129
habari za leo..

Ndugu zangu,kama vile navopenda kuwaita wakwasi wa fikra,,

jana yapata mida ya usiku wa saa tano na ushee,nilikua nyumbani kwangu nafuatilia mjadala fulani tbc1 na miongoni mwa jambo kubwa lililokua limechukua nafasi ni katiba mpya na mustakabali wa tanzania yetu kwa kuchelea uimara wa muungano wetu n.k.,na kwa kweli ule mjadala ulipata kuwa na wachangiaji wengi tuh wenye uelewa wa mambo na wazalendo + wenye kuutakia mema muungano wetu

hoja ya mchangiaji mmoja bado inanizunguka zunguka kichwani mwangu hadi kufikia hivi sasa,,

alisema ya kwamba namnukuu "katika katiba mpya inayotarajiwa na katika mchakato wa ukusanyaji wa maoni kwa wananchi juu ya katiba hiyo tarajiwa hiki kipengele cha muungano kinastahiki kizungumzwe kiuwazi kabisa",,

na kwamba huu uwoga tulionao wa kushindwa kulizungumza suala hili kwa kuhofia kuufanyia choko choko muungano sio dawa stahiki juu ya kero za muungano wetu tunaoupenda,,

zanzibar kama zanzibar,ina rais wake,ina katiba yake,ina bunge lake,ina serikali yake,ina jeshi kmkm,kwa ufupi zanzibar ina asilimia kubwa sana ya vitu vinavoifanya hiyo zanzibar kuishi kwa amani ndani ya muungano huu

tujiulize sisi watanzania bara endapo muungano unavunjika leo i mean sisi tanganyika tuna nini?

Je tanganyika tuna rais?tanganyika tuna katiba?tanganyika tuna mahakama?tuna bunge?

Na huu muungano ukivunjika saiz sisi tanganyika tunafanya kitu gani cha kututambulisha katika jumuiya ya kimataifa ya kwamba ni nchi kamili iliyo kamilika kiutawala??

Mimi naona watu waliokalia kuti kavu katika hili suala ni sisi watanganyika,sasa kwanin tunaogopa kulizungumza hili??
Hata kama suluhisho liwe ni serikali tatu,yani ya zanzibar,tanganyika.,na muungano kwani kuna tatzo gani??

Mtu pekee anaenufaika na huu muungano me naona ni mzanzibari,mzanzibari ananufaika na zanzibar kisha ananufaika na tanzania pia

tanganyika ananufaika na nini??

Kwanini linapokuja suala la nyeti na la umuhimu kama hili tunashikwa na woga na kigugumizi kulizungumza kwa uwazi??


kwa kweli mimi kama mzanzibara au mtanganyika au mtanzania bara ndie pekee niliekalia kuti kavu kwenye muungano huu endapo litatokea lolote lile la kutokea..


Muungano tuuzungumze kwa manufaa yetu na manufaa ya vizazi vyetu vinavokuja

tanzania ni nchi yetu,tunaipenda na kujivunia nayo.
 
Mi natamani tanganyika ili 2epukane na magaidi!
 
Muungano mpaka sasa unashikiliwa na woga wetu tu wabara. Yaani natamani uvunjwe tu kwa mwaka kisha kila mtu arudi kwao, kusafiri kwa passport, umeme tuwauzie kama nchi tofauti. Kodi iongezwe kwa kila bidhaa iingiayo Zanzibar. Hapo tutaheshimiana tu
 
mi natamani tanganyika ili 2epukane na magaidi!


come on,go easy
lets discuss,lets share our views

ok,unaitamani tanganyika sawa,,
swali je una vigezo vya kua nchi kama ambavyo anavyo mwenzako zanzibar au huu muungano ukivunjika wewe ndipo uanze kuvitafuta ivo vigezo?
Remember no zanzibar no tanzania,bt also no tanzania zanzibar is already there
so,how about you tanganyika??
 
Wabara tunataka sana muungano uvunjike, lakini Wazanzibari ndio wanaoung'ang'ania

.Muungano ukivunjika, Wapemba huku watakuwa ughaibuni, hawataruhusiwa kuuza chips wala magenge.
Hapo ndipo unapokuja ugumu wa kuvunja muungano.
 
tatizo tumekaririshwa na kujengwa ktk kuogopa waliyofanya marehemu


tukiwa na nia ya dhati na uthubutu
tunaweza ivaa changamoto hii na kuipatia suluhisho la kudumu
lakini sio kwa kuipiga dana dana namna hii..
 
wabara tunataka sana muungano uvunjike, lakini wazanzibari ndio wanaoung'ang'ania

.muungano ukivunjika, wapemba huku watakuwa ughaibuni, hawataruhusiwa kuuza chips wala magenge.
Hapo ndipo unapokuja ugumu wa kuvunja muungano.


mkuu buji buji habari za leo,,
i hope umzma wa afya,mungu akubariki sana
je,sisi kama wabara hatuutaki tumejiandaaje na hilo?
Wenzetu hawana cha kupoteza hata kama tunauvunja leo,watachofanya wao ni kuboresha baadhi tuh ya maeneo
hili lahitaji umakini sana mkuu
 
habari za leo..

Ndugu zangu,kama vile navopenda kuwaita wakwasi wa fikra,,

jana yapata mida ya usiku wa saa tano na ushee,nilikua nyumbani kwangu nafuatilia mjadala fulani tbc1 na miongoni mwa jambo kubwa lililokua limechukua nafasi ni katiba mpya na mustakabali wa tanzania yetu kwa kuchelea uimara wa muungano wetu n.k.,na kwa kweli ule mjadala ulipata kuwa na wachangiaji wengi tuh wenye uelewa wa mambo na wazalendo + wenye kuutakia mema muungano wetu

hoja ya mchangiaji mmoja bado inanizunguka zunguka kichwani mwangu hadi kufikia hivi sasa,,

alisema ya kwamba namnukuu "katika katiba mpya inayotarajiwa na katika mchakato wa ukusanyaji wa maoni kwa wananchi juu ya katiba hiyo tarajiwa hiki kipengele cha muungano kinastahiki kizungumzwe kiuwazi kabisa",,

na kwamba huu uwoga tulionao wa kushindwa kulizungumza suala hili kwa kuhofia kuufanyia choko choko muungano sio dawa stahiki juu ya kero za muungano wetu tunaoupenda,,

zanzibar kama zanzibar,ina rais wake,ina katiba yake,ina bunge lake,ina serikali yake,ina jeshi kmkm,kwa ufupi zanzibar ina asilimia kubwa sana ya vitu vinavoifanya hiyo zanzibar kuishi kwa amani ndani ya muungano huu

tujiulize sisi watanzania bara endapo muungano unavunjika leo i mean sisi tanganyika tuna nini?

Je tanganyika tuna rais?tanganyika tuna katiba?tanganyika tuna mahakama?tuna bunge?

Na huu muungano ukivunjika saiz sisi tanganyika tunafanya kitu gani cha kututambulisha katika jumuiya ya kimataifa ya kwamba ni nchi kamili iliyo kamilika kiutawala??

Mimi naona watu waliokalia kuti kavu katika hili suala ni sisi watanganyika,sasa kwanin tunaogopa kulizungumza hili??
Hata kama suluhisho liwe ni serikali tatu,yani ya zanzibar,tanganyika.,na muungano kwani kuna tatzo gani??

Mtu pekee anaenufaika na huu muungano me naona ni mzanzibari,mzanzibari ananufaika na zanzibar kisha ananufaika na tanzania pia

tanganyika ananufaika na nini??

Kwanini linapokuja suala la nyeti na la umuhimu kama hili tunashikwa na woga na kigugumizi kulizungumza kwa uwazi??


kwa kweli mimi kama mzanzibara au mtanganyika au mtanzania bara ndie pekee niliekalia kuti kavu kwenye muungano huu endapo litatokea lolote lile la kutokea..


Muungano tuuzungumze kwa manufaa yetu na manufaa ya vizazi vyetu vinavokuja

tanzania ni nchi yetu,tunaipenda na kujivunia nayo.
Mjomba mleta hoja

Hapo kwenye njano nakunuu,sio kweli kuwa wazanzibari wananufaika,nipe sababu wananufaika kivupi ? zanzibar inanufaika internal economy tu,external economy hatufaidiki kutokana hilo kuti kavu ambao unaongea wewe limetokea ndani ya umoja wa mataifa kwaana ya kwamba tanganyika inafaidika zaidi kwa kutumia kuti hilo,wizara za muungano ndio wizara za tanganyika,tanganyika inaweza kutiliana saini na nchi yoyote mkataba kwa kupitia tanzania,lakini zanzibar haiwezi kufanya hivyo mpaka amri itoke dodoma,kuna mengi zanzibar tumeshindwa kutiana mikataba na nchi za nje,tunashindwa kukuza uchumi wetu kwa kutumia external economy ,kwa kupita wawekezaji kutoka njee na misaada midogo midogo .

Tanganyika ndio hii ijiitayo tanzania,kama huwamini wewe,rasilimali zenu huko mrima zinasimamiwa na nani ? Mbona hatufaidiki sisi hizo rasilimali ? inamana mwenyewe yupo amevaa koti la muungano.

Zan zibar ipo tu nchi kama jina inajiendesha kama kijiji tu cha mkowa wowote wa tanzania bara,kwa vile haina external economy,hata internal economy pia hatuwezi kupiga hatua.

Umechemsha.
 
Hilo ni koloni letu mkuu wala usihofu sana, hiyo serekali yao ni sawa na utawala wa mkoa, yaani huyo rais wao ni sawa na mkuu wa mkoa, bunge lao ni sawa na sekretarieti ya mkoa, sema zimewekwa kwa staili fulani ya kuwapumbaza hao wazenj, ila nakuhakikishia hiyo katiba ya jamhuri ya muungano ni mali ya tanganyika, wajamaa wakijitoa tunafanya small amandements maisha yanaendelea
 
me naona muungano ni jambo zuri la kulienzi mkuu
tatzo tunalipiga dana dana sana suala hili
haifai hata kidogo..

nyie ongeeeeeeni weeeeee mwisho wa siku waambieni wapemba warudi kwao.hamna watu wananufaika na muungano kama wapemba and still wao ndo walalamikaji wakuuu!shenzi typ
 
nyie ongeeeeeeni weeeeee mwisho wa siku waambieni wapemba warudi kwao.hamna watu wananufaika na muungano kama wapemba and still wao ndo walalamikaji wakuuu!shenzi typ
tumia hoja,sitoe matusi ,usiwe na wewe mwenye akili za samaki !
 
mjomba mleta hoja

hapo kwenye njano nakunuu,sio kweli kuwa wazanzibari wananufaika,nipe sababu wananufaika kivupi ? Zanzibar inanufaika internal economy tu,external economy hatufaidiki kutokana hilo kuti kavu ambao unaongea wewe limetokea ndani ya umoja wa mataifa kwaana ya kwamba tanganyika inafaidika zaidi kwa kutumia kuti hilo,wizara za muungano ndio wizara za tanganyika,tanganyika inaweza kutiliana saini na nchi yoyote mkataba kwa kupitia tanzania,lakini zanzibar haiwezi kufanya hivyo mpaka amri itoke dodoma,kuna mengi zanzibar tumeshindwa kutiana mikataba na nchi za nje,tunashindwa kukuza uchumi wetu kwa kutumia external economy ,kwa kupita wawekezaji kutoka njee na misaada midogo midogo .

Tanganyika ndio hii ijiitayo tanzania,kama huwamini wewe,rasilimali zenu huko mrima zinasimamiwa na nani ? Mbona hatufaidiki sisi hizo rasilimali ? Inamana mwenyewe yupo amevaa koti la muungano.

Zan zibar ipo tu nchi kama jina inajiendesha kama kijiji tu cha mkowa wowote wa tanzania bara,kwa vile haina external economy,hata internal economy pia hatuwezi kupiga hatua.

Umechemsha.



umeongea vyema mkuu,na una hoja pia
katika muungano huu kuna makub aliano ya vitu ambavyo ni union matters and non union matters ambavyo zanzibar directly vinanufaika navyo
na hoja yangu mimi sio kujaribu kufananisha ni nani kati yetu anafaidi zaid ya mwingne ktk nyanja zote la hasha,hoja yangu ni kutaka ss watanganyika tujue nafasi yetu iko wapi hasa kwenye muungano huu
kila mtu anyo nafasi ya kusimamia upande wake kwa kile anachokiamin kwamba kiko sahihi
 
Back
Top Bottom