Search results

  1. C

    Hii ni kwa vijana tu. Soma hapa

    kama kijana wa kitanzania unayependa maendeleo na nchi yako niwakati wako sasa kutafuta maisha siyo kila siku unabaki kulumbana kuhusu siasa. kwa kipindi kirefu chaka bovu amefanya utafiti nakuona kuwa asilimia kubwa ya vijana wameacha kufanya maendeleo na kulumbana kuhusu siasa, siwakatazi...
  2. C

    Ukitaka kujua siasa ya Tanzania ni unafiki soma hii

    nitaongea sana mwisho wa siku nitanyamazishwa kwa kupandishwa cheo. nimegoma mwisho wa siku naomba radhi. HUU NDIO UKWELI
  3. C

    Elimu yetu inakwenda wapi

    Jamani hivi elimu ya tanzania inakwenda wapi? kama tunaweza sasa kuweka mtihani wa hisabati kuwa na majibu ya kuchangua sasa tunafanya wanafunzi kuwa wavivu sasa na kupoteza wasomi. kweli tutafika
  4. C

    Mtazamo

    sioni sababu ya chadema na ccm kulumbana kila siku. Malumbano yatakwenda mwisho wa siku kila mtu unyamaza.wanasiasa watanzania tatizo maneno mengi vitendo vichache. ila itafika kipindi watanzania wataelewa kinachoendele katika siasa yetu ambayo ya maneno mengi vitendo vichache. AMKA NA UITETEE...
  5. C

    Hoja

    Uchumi wa tanzania unategemea sekta ipi hasa? 1. Madini 2. Utalii 3. Kilimo 4. Viwanda na biashara
Back
Top Bottom