TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAMKO LILILOTOLEWA NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JAJI MUTUNGI
28 July, 2016
Ndugu waandishi wa Habari, Nimepokea kwa masikitiko makubwa Tamko lilitolewa na Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Fransis S K Mutungi tar 28 July 2016 kuhusu kile anachokiita kukemea...
KAULI HAZIKUMALIZA MGOGORO WA ZANZIBAR TANGU MWAKA 1995, MAAMUZI YALIMALIZA MGOGORO ZANZIBAR 2010, KAULI ZA LEO NI ZA KUTURUDISHA KWENYE CHUKI NA UHASAMA ZANZIBAR. Azimio la Baraza la Wawakilishi Baraza la Wawakilishi la Zanzibar mnamo tarehe 28 na 29 Januari 2010 lilijadili hoja ya mapendekezo...
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WAKAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE MCH ISRAEL YOHANA NATSE (MB) AKIWASILISHABUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRAKWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
(Inatolewa chini ya Kanuni ya 99 (9), ya Kanuni za Kudumu za BungeToleo la Mwaka...
TAARIFA YA MWENYEKITI WA BAVICHA MKOA WA NJOMBE KWA VYOMBO VYA HABARI19 May 2015
Ndugu Waandishi wa Habari,
Katika kipindi cha wiki Miezi Miwili iliyopita wakatizoezi la Uandikishaji likiendelea katika Mkoa wa Njombe, kumekuwepo namfululizo wa vikao vya Chama Cha Mapinduzi Kujadili namna...
kwanza mimi sio mwenyekiti wa wilaya, ila ni mkoa.usichokijuua ni sawa na usiku wa giza, shonza usaliti wako kwa sababu tuu ya kupewa fedha na ahadi lukuki za ccm sio uhalali wa kukurupuka na kufanya propaganda za kutukana watu kwa sababu ya hila zako na chadema.
Lazima utambue kuwa chadema ni...
Nimetoa haya kutokana na kile alichokisema julian shonza juu ya BAVICHA na kunitaja kwa jina , usichokijuua ni sawa na usiku wa giza, Shonza usaliti wako kwa sababu tuu ya kupewa fedha na ahadi lukuki za CCM sio uhalali wa kukurupuka na kufanya propaganda za kutukana watu kwa sababu ya hila zako...
TAMKO LA VIJANA NCHINI KUMSIHI MWENYEKITI FREEMAN MBOWE AGOMBEE TENA NAFASI HII YA UENYEKITI WA CHAMA CHETU.
Tamko hili ni la vijana wote wa CHADEMA nchi nzima. Linasomwa hapa mbele ya hadhara hii kwa niaba ya vijana hao ambao wanayo hamu kubwa ya kumuona Mwenyekiti Freeman Mbowe akiwania tena...
Tatizo lako una jazba kama mtu mwenye njaa, sasa sijui ndio style ya kujenga hoja au? Nilipendekeza serikali Tatu, tena kwa kuonesha jinsi mbili zilivyoshindwa kutatua kero na kunesha utaratibu wa tatu kutatua kero za muungano. usiwe na tabia ya kukurupuka nakulopoka tuu kisa warioba kachukua...
Bunge maalumu lipo katika mjadala ambao kwa mujibu wa ratiba ya bunge maalum hoja iliyopo mezani ni kujadili taarifa za kamati za bunge maalumu juu ya sura ya kwanza na ya sita katika rasimu ya katiba, cha kushangaza hadi sasa mjadala unaonekana kuwekwa kando na mjadala uliopo sasa ni ukawa na...
TAARIFA KWA UMMA JUU YA MJADALA WA KATIBA MPYA BUNGENI.
TUSIWAPUUZE VIONGOZI WA DINI - UKWELI HAUPENDI KUPUUZWA PUUZWA.
Nimefuatilia kwa umakini sana mjadala uneondelea sasa katika vyombo vya habari, bungeni na nje ya bunge, bado sioni nia ya dhati kwa watawala kutafuta muafaka na kuleta katiba...
Baada ya kupokea kipigo kwa Greenguard ya CCM kwa kumuokoa askari polisi Viongozi hao wa CHADEMA watafikishwa mahakamani kujibu mshtaka ya kufanya fujo, Unaweza jiuliza kumuokoa mtu ni fujo? Kupigwa na ukaa kimywa ni Fujo?
Pili Mimi binafsi nilikamatwa kwa kudai haki ya kiongozi wetu aliepigwa...
Kikwete katika maadhimisho ya miaka 37 ya ccm mkoani mbeya amesema sio lazima ilani ya ccm itekelezeke kufikia 2015, akitoa sababu kuwa hawafungwi na ahadi hizo kwani hakuna mapato ya kukamilisha ahadi hizo za ccm, watanzania vema tujifunze kauli za viongozi wetu na nia zao katika taifa hili...
Nimetafakari kidogo kauli za wanasiasa juu ya mapendkezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya katiba, Nimeona ni kama vile Rasimu ina ibara moja tuu hususani juu ya Muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ambayo inatoa mapendekezo ya Serikali tatu.
Kuna makundi mawili hasimu, moja la...
KAULI ZA WANASIASA JUU YA RASIMU YA PILI YA KATIBA.
Nimetafakari kidogo kauli za wanasiasa juu ya mapendkezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya katiba, Nimeona ni kama vile Rasimu ina ibara moja tuu hususani juu ya Muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ambayo inatoa mapendekezo...
TOFAUTI YA KIKWETE NA KAMATI KUU YA CCM, NI KIBURI AU.
Kutokana na uamuzi wa Kikwete wa kuendelea na baraza la mawaziri lenye Mizigo kwa mujibu wa wajumbe wa kamati kuu ya CCM kuwa ipo mizigo ndani ya baraza la mawaziri, hapo ndio imeonekana wazi tofauti kati ya CCM na kamati kuu ya Chama...
HOFU YA KIKWETE NA VISASI NA MATAMANIO YA UONGOZI 2015.
Kauli ya Kikwete katika maadhimisho ya miaka hamsini na mbili ya uhuru wa Tanganyika jijini dare s salaam tarehe 9 disemba 2013, akiwataka watu wanaotaka nafasi za uongozi nchini kuiga mfano wa mwasisi wa taifa la afrika kusini hayati...
Mkuu watnzania sasa wanahitaji mtekeleze ahadi mlizoahidi 2010, na sio nini chadema wanafanya kikubwa waambie wenzio kuwa ahadi zenu ndio kitanzi kwa wana mbaya wenu sio chadema ila ni ahadi zenu hivyo kupambana na chadema hakutasaidia kutoka hapo mlipo sasa. Jaribu tuu kuwa mstararabu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.