Wa jifunze kwanza mradi ya nyumbamungu kilimanjaro, Hale panga I uchafuguzi wa mazingira hata kuhamishwa watu ihefu je huko mlagarasi wamejizatiti na hayo.
Kitu mhimu huyo mama apelekwe kwa wataalam wa uzazi isije kwenda hospital ya kilema ikawa kisingizio. Tusihukumu bila kujua chanzo. Je m/kilikuwa mwenyewe au Kuna ushabiki wa Aina fulani
Nipe pole Sana mhusika. Nashauri huyu Dada apelekwe kwa wataalam WA uzazi waangalie vizurimasaibu aliyoipata
2. Mwenyekiti huyo nimesikia amekomesha uvunjifu wa Amani toka alipochaguliwa hivyo wasiompenda Wana tumia mwanya huo.
3. Kwa kuwa vyombo vya usalama vipo tuvipe muda hatimaye sheria...
Nakubaliana na swala ta utunzaji wa mazingira utakuwa na changa moto,katika uzalishaji wa umeme.mfano ukiangalia uzalishaji wa umeme kwa kutuma vyanzo vya maji ulipungu sana.ndo maana uzalishaji umeme kwa kutumia makapuni ya nje ambayo yanatugharimu mabilion ya fedha yakawepo,sababu ni maji...
Sumatra mbona hawatangazi bei za mabasi ya Dar kwenda babati kupitiakondoa less than 700 km.wasafiri wa babati kwenda dar.hawapitii ARA.badala take kuna mabasi yasiyopungua5 kila siku bbt kwenda DAR.kupitia kondoa Dodoma DAR.SUMATRA Tupeni bei elekezi
Bado nauli ya kutoka babati kwenda dar kupitia kondoa ni sawa na ile ya babati kwenda dar kupitia singida.wakati kuna zidio la km.165.jamani angalie hilo.sumatra mpo?
Msituni wa nou ulioko mpakani mwa mbulu na babati kijiji cha erri kuna mashimo hayo ya wajerumani katika kitongoji kinachopakana na kijiji cha merr.kazi kwenu wa tafiti.kwa u sahihi zaidi tafutamimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mvua kidogo za vuli zilizonyesha mjini babati nakutirisha maji kidogo katika mfereji iliziduliwa hivi majuzi na Mheshimiwa Makamu wa Raisi wa Tanzania,zimebomoa baadhi ya mitaro.
Sisi wakazi tumejuuliza kama mvua kidogo zimeleta Matatizo hayo.je mvua za masika zitatufanyaje?.Wahandisi na...
Wale nyota zao zinafifia mwanga inabidi waondoke.wangesubiri maamuzi ya wa piga kura wao kuliko kukosa yote.sio lazima wala haipo katika mikakati ya chama kila ukitoka lazima urudi katika ngazi uliyotokea. nashauri arudi kuwa mwana ccm tumpime akifaa baada ya miaka 5 hadi 10 ndo aombe uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.