njofu
Member
- Jul 29, 2012
- 67
- 19
Mvua kidogo za vuli zilizonyesha mjini babati nakutirisha maji kidogo katika mfereji iliziduliwa hivi majuzi na Mheshimiwa Makamu wa Raisi wa Tanzania,zimebomoa baadhi ya mitaro.
Sisi wakazi tumejuuliza kama mvua kidogo zimeleta Matatizo hayo.je mvua za masika zitatufanyaje?.Wahandisi na wahusika chukueni hatua.
Sisi wakazi tumejuuliza kama mvua kidogo zimeleta Matatizo hayo.je mvua za masika zitatufanyaje?.Wahandisi na wahusika chukueni hatua.