Tafuta viongozi wa imani yenu, ili wakae wamshauri awaachie watoto wenu mpate kuendelea kuwalea ukizingatia watoto wanahitaji malezi na UPENDO wa wazazi.
Habarini, WanaJF,
Kuna jambo linaniumiza kichwa. Ningependa kuuliza hivi kuna milango ya vioo ambayo wezi hawawezi kuivunja. Kama ipo hapa Dar, naweza kuipata wapi?
Karibuni wadau mnisaidie..
Baba mwenye nyumba hivi unaanze kupenda mazoea na utani na wadada wa kazi. Vitu vingine havihitaji hata ushauri.
Mkeo anajuwa hii '' weka mbali na watoto''
Kitu kikubwa ni heshima kwa ndugu wa pande zote mbili. Mkiendelea kuishi pamoja mkeo atawazoea nduguzo na atawapenda automatic. Don't force her too much. Jiulize na ww unawapenda ndugu zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.