CCM ipo katika hatua za mwisho za urushaji mateke ya kukata roho,dalili ni nyingi,Push ups katika mikutano ya Siasa,Tafiti tata za Twawezwa na REJECT,iga iga ya kauli mbiu,ahadi danganya toto zisizohesabika wala kutekelezeka,Kuandaa matamasha badala ya mikutano,nunua nunua ya Viongozi wasaliti...
CCM ipo katika hatua za mwisho za urushaji mateke ya kukata roho,dalili ni nyingi,Push ups katika mikutano ya Siasa,Tafiti tata za Twawezwa na REJECT,iga iga ya kauli mbiu,ahadi danganya toto zisizohesabika wala kutekelezeka,Kuandaa matamasha badala ya mikutano,nunua nunua ya Viongozi wasaliti...
CCM ipo katika hatua za mwisho za urushaji mateke ya kukata roho,dalili ni nyingi,Push ups katika mikutano ya Siasa,Tafiti tata za Twawezwa na REJECT,iga iga ya kauli mbiu,ahadi danganya toto zisizohesabika wala kutekelezeka,Kuandaa matamasha badala ya mikutano,nunua nunua ya Viongozi wasaliti...
wadau habari za leo,naomba kupata ushaur wenu ni siku ya tatu sasa Mzee wangu anasumbuliwa na kwikwi,si mchana wala ucku yaan ni balaa,je kuna tiba mbadala yeyote?coz tumempeleka Ocean Road amepewa dawa lakin hatuon mabadiliko yeyote.msaada wapendwa!
Wadau wa jf naomba mnisaidie,nimekuwa navuta sigara kwa muda mrefu,kila nikijaribu kupunguza au kuacha kabisa nashindwa kuacha kabisa!nitumie nini niondokane na utumwa huo..nisaidien ushaur pliz!!
wanajamvi nimeoa mwaka 2009 mpaka leo hatujajaliwa kupata mtoto,ctumekwenda hospital zaid ya tano tumefanya vipimo wote tuko sawa,nikaamua kutafuta mitishamba mke wangu ameinywa mpaka namuonea huruma,maelewano hayapo baina ya mke wangu na ndugu zangu wanataka wanitafutie binti nizae naye!siko...
Ndugu wanajf mimi ni mgeni humu ndan lakin nimeona mwanga tulivu kwani nafuga kuku wa kienyej kupitia uzi huu nimejifunza jins ya kuboresha mradi wangu,soon ntakuwa na mashine ya kutotoleshea vifaranga,naomba ushaur zaid ili nijikwamue kimaisha..thanx an God bless u all!
Wanajamvi nisaidien nitumie nini kwani mara nimalizapo kuoga mwili wangu wote huniwasha sana hunichukua zaid ya dakika 15 kujikuna,tatizo hili hunipata zaidi wakati wa asubuhi!jaman nishaurin napata taabu sn!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.