Wadau Habari za Usiku... Tukiachana na siasa za nchi yetu ambazo this tyme ndio gumzo la mjini, naomba niulize maswali yadfuatayo ...maana yatanisaidia sana kuhusu hii mifuko ya Jamii. Kama hujui naomba uwe mpole...usijibu/kuchangia
(i) Mifuko ya jamii Tanzania kwa mfano LAPF, PSPF, ...
Wanasiasa ni watu wenye akili za kisisasa! Vijana wenzangu, mwaka huu tusipoangalia tutatumika kama pampasi na kutupwa. Vijana naomba tuthamini mchango wetu kwa ujenzi wa taifa, kwani taifa likiharibika sisi ndio tutaumia. Tuna miaka mingi ya kuishi kuliko wazee wanaotaka kututumia kutokana na...
Kwako mh. Edward n lowassa... Ushauri wangu kwako, watanzania wengi wamechoshwa na serikali dhalimu ya ccm. Hata wakati rais aliyepo madarakani anagombea hali ilikuwa nzuri kwake kama ilivyo sasa kwako..... Lakini baada ya kuingia ikulu hali ya watanzania ilibadilika na kuwa mbaya...
Kwa ufupi...
Habari wana Jf! Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nimeajiriwa miaka 3 iliyopita! Toka mwaka jana/oktoba, faili langu ktk ofisi za DED (MKURUGENZI) halionekana! Nimerudia mara 3 lakini nazungushwa tu! Sijafanya kosa lolote la kikazi/kimaadili! Naombeni msaada wenu maana mm nawaza kumshtaki...
Katika kile kinachoonekana benki zetu zinaendesha mambo bila mibadala,leo katika benk ya nmb Songea hakujakuwa na huduma kuanzia saa 2 asubuhi mpaka naondoka hapo saa 8.30!mchana Tatizo wao wanadai mtandao,lakini ATM zote zilikuwa zinaendelea kwa kusuasua! Sijaelewa vizuri naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.