..nikiwa nimejipumzisha chumbani kwangu,chumba ambacho kipo mahali ambapo kwa lugha ya wenyewe tuyaita Hostel,ghafla mlango ulifunguliwa kwa kasi ya ajabu,akaingia rafiki yangu ,kabla sijauliza kulikoni alianza kufoka na machozi yakimtoka.Najuta sana kumpenda R,Mapenzi yetu yalikuwa...
KITENDAWILI CHA PROF. SARUNGI,IGOGO NA FEDHA ZA TACAIDS NA MAKAO MAKUU YA WILAYA YA RORYA
Habarini za Asubuhi wana JF,Katika kuendeleza harakati za kupambana na ufisadi leo nataka niwangate sikio jinsi ambavyo viongozi wetu wanawatumia watu wengine kutunza fedha zao na wao kuonekana kuwa...
Umesema mambo ya kweli mifumo yetu iliyopo haitoi nafasi ya kuuelimisha umma wa watanzania ili kujikinga na maradhi, bahati mbaya hata sisi wahudumu wa afya ambao tunaelimishwa kwa fedha za hawahawa watanzania hatujengewi misingi ya kutoa elimu ya afya kwa umma nitakupa sababu chache tu kwa nini...
Napenda kuwa julisha wana JF kuwa nakaribisheni maswali mafupi mafupi yanayohusu tatizo lolote la kiafya.Maswali yote yatajibiwa mara moja kwa wiki iwe ni tatizo ulilonalo wewe binafsi au ndugu,jirani,rafiki au mtu yeyote unayemfahamu,Kumbuka yawe mafupi ili watu wengi zaidi wapate nafasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.