SPIDER MAN
Swali lako ni gumu sana kulijibu lakini niseme tu kwamba majungu,Umbea na mitizamo hasi vinaathiriwa na mambo mengi sana kama ifuatavyo:
1.Watu wanaokuzunguka-Kama watu wanaokuzunguka kila siku ni watua ambao umbea au majungu kwa ni hali ya kawaida wanaweza kuku infect na wewe kuwa...
Kamanda
Kuhusu jamaa yako anayeumwa miguu naona Madaktari wenzangu wamekujibu na majibu yao yote ni sahihi.Mimi naongezea tu kwamba Magonjwa ambayo commonly yanakuwa na presentation kama hiyo yaani Peripheral Neuropathy kwa Tanzania ni Upungufu wa Vitamini B12 hasa kutokana na unywaji pombe...
Pole Mzalendo Halisi,
Mimi siku zoote naamini kuwa iwapo mama watoto wako atakuwa anaenda nje ya relationship kuna kitu ambacho hujafanikiwa kumpa na anajaribu kukitafuta nje-ni imani yangu tu ambayo si lazima na wewe uamini hivyo.
Naamini hivyo kwa sababu kama mkeo unaweza kumtosheleza kwa...
Kwa Mzalendo Halisi
Shukrani kwa Maoni yako,sisi wana Rorya naamini ni wastaarabu sana,Ila kuna baadhi ya Mafisadi wachache kama akina So What ambao wana kiburi cha kujivunia mali za baba zao na kuanza kututukania Umasikini,ana uhakika gani kuwa mimi ni Masikini?
Hili linadhihirisha wazi...
hakika wote mnaobishana humu so what, nyererist na mchumia juani.
nasikitika sana mbona mmeruka hoja kuu?
hiyo KOSHIKA women group ilala ndiyo ina network kubwa Dar na UTEGI? nadhani kuna logic huu wivu mnaousema sio jibu.
kama ni wivu wa kweli sio shida lakini kwanini waibe wakati kila...
hakika wote mnaobishana humu so what, nyererist na mchumia juani.
nasikitika sana mbona mmeruka hoja kuu?
hiyo KOSHIKA women group ilala ndiyo ina network kubwa Dar na UTEGI? nadhani kuna logic huu wivu mnaousema sio jibu.
kama ni wivu wa kweli sio shida lakini kwanini waibe wakati kila...
Asante Mzalendo Halisi kwa Kugundua kuwa kuna watu nimewagusa moja kwa moja katika ishu hii na sasa wanatapatapa kwa kunitukana kwa hoja yangu.Kama wanaujua UKWELI KWA NINI WASIJIBU HOJA KWA HOJA MPAKA WATOE KASHFA NA MATUSI.
Mfano mzuri ni pale ambapo jamaa anamtaja Dr.Makoye kuwa ndugu wa...
Asante Mzalendo Halisi kwa Kugundua kuwa kuna watu nimewagusa moja kwa moja katika ishu hii na sasa wanatapatapa kwa kunitukana kwa hoja yangu.Kama wanaujua UKWELI KWA NINI WASIJIBU HOJA KWA HOJA MPAKA WATOE KASHFA NA MATUSI.
Mfano mzuri ni pale ambapo jamaa anamtaja Dr.Makoye kuwa ndugu wa...
Nimekustahi hapo juu kidogo
Kama sio udaku huo ni jungu ambalo unatakiwa kufanyiwa uhakiki wa shehena ya akili yako iliyokuleta hapa, tunaelewana!
Hapo, bado tu, ni majungu!
Pamoja na haya ya humu na "Where we Dare Talk Openly" bado siamini kwamba hiyo uliyokuja nayo ni...
..nikiwa nimejipumzisha chumbani kwangu,chumba ambacho kipo mahali ambapo kwa lugha ya wenyewe tuyaita Hostel,ghafla mlango ulifunguliwa kwa kasi ya ajabu,akaingia rafiki yangu ,kabla sijauliza kulikoni alianza kufoka na machozi yakimtoka.Najuta sana kumpenda R,Mapenzi yetu yalikuwa...
Tusiendeleze mjadala huu rafiki yangu i think nimeelewa mawazo yako na nayaheshimu,muhimu tambua kwamba maelezo mtu anayotoa hapa anavolunteer ujuzi na time hivyo yakiwa mafupi sana usilaumu na yakiwa marefu usichukie.Japo kuwa si dhambi ukiwa Makenika,ukawa Daktari au hata ukawa Mwanasheria...
KITENDAWILI CHA PROF. SARUNGI,IGOGO NA FEDHA ZA TACAIDS NA MAKAO MAKUU YA WILAYA YA RORYA
Habarini za Asubuhi wana JF,Katika kuendeleza harakati za kupambana na ufisadi leo nataka niwangate sikio jinsi ambavyo viongozi wetu wanawatumia watu wengine kutunza fedha zao na wao kuonekana kuwa...
sHUKRANI kAKA Mafish,Jambo la msingi jitahidi kutafuta Mouth wash dukani na utafute na hiyo Nystatin oral suspension utumie kwa Muda.Wakati mwingine ni jambo la kisaikolojia kwani uchafu ulioko Chumvini una feel ama uko kinywani kwa hiyo tuliza akili,uone kama ajali tu na usione kinyaa,nakutakia...
Umesema mambo ya kweli mifumo yetu iliyopo haitoi nafasi ya kuuelimisha umma wa watanzania ili kujikinga na maradhi, bahati mbaya hata sisi wahudumu wa afya ambao tunaelimishwa kwa fedha za hawahawa watanzania hatujengewi misingi ya kutoa elimu ya afya kwa umma nitakupa sababu chache tu kwa nini...
Umesema mambo ya kweli mifumo yetu iliyopo haitoi nafasi ya kuuelimisha umma wa watanzania ili kujikinga na maradhi,bahati mbaya hata sisi wahudumu wa afya ambao tunaelimishwa kwa fedha za hawahawa watanzania hatujengewi misingi ya kutoa elimu ya afya kwa umma nitakupa sababu chache tu kwa nini...
Ni ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa insulin mwilini au Insulin kushindwa kufanya kazi ipasavyo kutokana ra Receptor kuwa insensitive kwa insulini
Aina
TYPE 1-Au insulin dependent hutokana na kuharibika kwa beta cells katika Islets of Langhans ambayo ndiyo inayotengeneza insulin hivyo...
Hhuko unakoita Chumvini ni sehemu yenye wadudu wengi sana kuanzia fungus, Herpes, bacteria n.k hivyo iwapo una hali mbaya mdomoni unaweza kuwa umepata fungus au vimelea wengine kutoka huko na kwa njia ya fecal oral route namaanisha baada ya kuingia chumvini ukashindwa kujisafisha vizuri mikono...
Ni ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa insulin mwilini au Insulin kushindwa kufanya kazi ipasavyo kutokana ra Receptor kuwa insensitive kwa insulini
Aina
TYPE 1-Au insulin dependent hutokana na kuharibika kwa beta cells katika Islets of Langhans ambayo ndiyo inayotengeneza insulin hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.