Intelligency at work. Hapa GREAT THINKERS MMELIWA. Huyu jamaa, lengo lake kujua majina halisi ya watu na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa, kama hatujasikia m1 m1 mmeng'olewa kucha na meno bila ganzi, sijui.
Hiyo imetokea huko Panama. Ni baada ya wavuvi kumnasa samaki huyo kwa kutumia mtego wao/ndoano, akaanza kutaka kujinasua na ndipo alipoizamisha boti hiyo.
Lkn ukiacha mambo mengine, hawa jamaa wa kusini, 'they are so selfish' sijawahi kuona. Halafu wana mwingiliano wa kidugu na wazanzibari. Ndo maana hata tabia zao hazina tofauti sana.
Mimi kwa mawazo yangu, hii ni njia nyingine ya kutafuta umaarufu (cheap popularity) na kusumbuliwa na njaa. Huyu jamaa ana uhakika kabisa kwamba kitendo chake cha kutangaza hvo atafuatwa na magamba na kutumiwa. Na kitendo chake cha kutangaza kugombea urais ilikuwa ni janja yake ili akishajiondoa...
Aliyemteua ndo anapenda uozo kama huo. Kwa sababu naye ni mtu wa mipasho, kwa hyo kwa akili yake fupi anadhani kumteua Mwigulu atasaidia chama kwa matusi yake. Mm naombea huyu jamaa aendelee kuwepo kwny nafasi hyo ili iturahisishie safari ya kuelekea ukombozi na uhuru wa kweli.
Huyo upeo wake wa kufikiri ni mdogo sana. Hata kama kweli alitongozwa, hiyo sio habari ya kusema mbele ya UMMA, anajidhalilisha mwenyewe. Suala la mwanamke kutongozwa au mwanaume kutongoza sio la ajabu kiasi hicho, kwani yeye ndo wa kwanza kutongozwa dunia hii? Lakini kwa akili yake na upeo...
Kama sikosei karibu mwaka sasa Tanzania katika mzunguko kuna noti za aina mbili tofauti. Noti hizo ni Tshs. 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000 mpya na za zamani zote zinaendele kutumika, na hadi sasa sijasikia tamko la serikali kuhusu mwisho wa kutumika zile za zamani. Cha kushangaza zaidi ni...
Mi nafikiri huyo Lukuvi akisikia yamesemwa mabaya ya CCM mwili unasisimka, matokeo yake anasimama kubwabwaja bila kujenga hoja na kuongea kwa kufuata vifungu vya kanuni, wenzake makini kama Lissu wanaongea kwa vifungu.
Wajameni tumsamehe tu bure, mtu si raia, aliwahi kufungwa na kutolewa kwa msamaha wenye utata, anatishia watu kwa bastola, unategemea ataishi vpi nchi ya watu bila kujipendekeza.
Sababu zilizotolewa na jeshi la polisi kuzuia mkutano wa CHADEMA huko Morogoro, je zina mashiko? Sababu zenyewe ni kwamba; walivyotaka kufanyia Moro mjini wakaambiwa CCM pia wana mkutano, wakaomba kwenda kufanyia Mvomero, wakaambiwa haiwezekani kwa sababu kuna mgomo wa walimu. Sasa kama kuna...
Ndugu zangu, mkisikia tume inaundwa kuchunguza jambo, mjue hapo tayari tumeibiwa. Kwa nn haikuundwa tume walipouwawa watalii, na baada ya siku mbili watuhumiwa wamekamatwa, lakini imeundwa tume 'Fasta fasta' tukio la kutekwa na kuteswa Dr. Uli
Kwa maoni yangu, wahusika wakuu katika kuchochea mgomo wa madaktari nchini ni wanasiasa (WABUNGE). Nasema ni wabunge kutokana na urafi na ubinafsi wao unaotokana na kujiongezea mishahara na posho kila mara huku watumishi wa umma ambao ndio wanafanya kazi kubwa katika ujenzi wa taifa wakiambulia...
Hata kama una mtazamo tofauti, kama kweli una roho ya kibinadamu hauwezi kushabikia au kufurahia unyama aliofanyiwa Dr. Uli. Na kwanini ukimbilie kuwalaumu madaktari wakati kuna anaye sababisha tufikie huko kwenye migomo ya mara kwa mara (Serikali)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.