Mkuu uzuri wa hizi course ni kuwa zote zinatoa assignments, pamoja na solutions to those assignments. Zingine hadi wanakusahishia hizo assignments at no extra cost. There are tests also.
Kwahiyo ni rahisi kwa mtu kujipima. Mtu akiwa stuck some where all they have to do is google, au kuangalia...
Technology ni kati ya field ambazo inakua na kubadilika kila siku. Na hii imefanya watu wengi wawe interested nayo, maybe it's because of how big an impact technology has in our lives au the way people can create amazing things kwa kutumia technology. Whatever the reason is, hii imefanya watu...
Sorry if this is a silly question, but kadi yako umeiwezesha kufanya manunuzi online?
Kama ikiendelea kuzingua, unaweza kutumia bitcoin, steam wanakubali bitcoin as a form of payment.
Noone is blaming anyone, ndo maana in my post nikaishia kwa kuuliza, kuwa je issue ni willingness ya developers, complexity of the project au regulation?
Ndio i understand kuwa its a complex project, and its not something a sole developer can go at it alone. Na i understand how different...
Hahaha mkuu umenichekesha ulivosema adsense. Ila sidhani kama swala ni elimu. Maanake nauhakika hivyo wanavyofundishwa hapa ni almost the same na wanavyo fundishwa Kenya na nchi nyingine. Labda difference itakuwa kidogo tu.
Sema hapo kwenye muamko nakubaliana nawewe, na hilo si tatizo la...
Kwahiyo basically unahitaji kuwa some big name company ili wakupe access to the APIs. What about kama ni an individual au a small firm, wanaweza wakakupa access to those APIs, hata through vetting, au ndo mtu asahau kuhusu hilo.
Mind me asking huwa hizo projects ulizofanya zilikuwa zinahusu nini?
Kadri dunia inavozidi kwenda ndo jinsi technology inavozidi kukua. Sikuhizi the most popular mode of payment duniani ni cashless. Yani mtu mnafanya biashara bila kupeana ela mkononi. Na a popular form ya kuaccept payments ni kwa kutumia a payment processor. Hii ni very helpful kama unafanya...
Mkuu API ni short form ya application programming interface, hizi ni tools ambazo zinakuwezesha kucommunicate na application/system zingine. Mfano tuseme jamii forum ingekuwa an api, hii inamaana mtu akitengeneza application, anaweza akatumia api ya jamii forum, kufetch data mbalimbali. eg ni...
Ooh, sorry nilikuwa sijaiona hii.
Ndio tsh 25,000/= ya domain na usisahau kuna seperate pricing kwa ajili ya hosting. Bei yake huwa inatofautiana kutoka kampuni moja na nyingine.
Kwakuanzia, sio lazima utafute designer kwaajili ya kudesign website yako, zipo free templates/themes mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.