Hivi Tanzanian banks zina api?

luse

JF-Expert Member
Jun 9, 2012
592
1,043
Jamani naomba kuuliza, hivi bank za tanzania zina api? specifically open apis.

If so, how accessible are they?
 
Neno api silijui mkuu, unaweza kunifafanulia?

Mkuu API ni short form ya application programming interface, hizi ni tools ambazo zinakuwezesha kucommunicate na application/system zingine. Mfano tuseme jamii forum ingekuwa an api, hii inamaana mtu akitengeneza application, anaweza akatumia api ya jamii forum, kufetch data mbalimbali. eg ni jukwaa gani linakuwa na wachangiaji wengi kuliko lingine, au ni muda gani mada nyingi ndo huwa zinaanzishwa n.k

Unaweza kucheki hii video, ambayo inatumia a good analogy kuelezea kuhusu APIs.
 
Mkuu API ni short form ya application programming interface, hizi ni tools ambazo zinakuwezesha kucommunicate na application/system zingine. Mfano tuseme jamii forum ingekuwa an api, hii inamaana mtu akitengeneza application, anaweza akatumia api ya jamii forum, kufetch data mbalimbali. eg ni jukwaa gani linakuwa na wachangiaji wengi kuliko lingine, au ni muda gani mada nyingi ndo huwa zinaanzishwa n.k

Unaweza kucheki hii video, ambayo inatumia a good analogy kuelezea kuhusu APIs.

Ok.


Shukrani mkuu.
 
most of the tz banks hawana nahisi wanaogopa maswala ya security
 
Zingikuwa hazina wangewezaje kufanya integration na mobile money, TRA etc? Wanazo lakini siyo open, ni closed kwa maana wanashare na trusted patners tu. Binafsi nimeshafanya project mbili ambazo nime integrate na bank, NMB na CRDB. Lakini hata hizo zingine nyingi zina API
 
Mkuu API ni short form ya application programming interface, hizi ni tools ambazo zinakuwezesha kucommunicate na application/system zingine. Mfano tuseme jamii forum ingekuwa an api, hii inamaana mtu akitengeneza application, anaweza akatumia api ya jamii forum, kufetch data mbalimbali. eg ni jukwaa gani linakuwa na wachangiaji wengi kuliko lingine, au ni muda gani mada nyingi ndo huwa zinaanzishwa n.k

Unaweza kucheki hii video, ambayo inatumia a good analogy kuelezea kuhusu APIs.


Ukiwa unatumia initials kuwakilisha maneno fulani siku nyingine tumia CAPITAL LETTERS sasa huoni api haifai maana si neno asilia.
 
Zingikuwa hazina wangewezaje kufanya integration na mobile money, TRA etc? Wanazo lakini siyo open, ni closed kwa maana wanashare na trusted patners tu. Binafsi nimeshafanya project mbili ambazo nime integrate na bank, NMB na CRDB. Lakini hata hizo zingine nyingi zina API

Kwahiyo basically unahitaji kuwa some big name company ili wakupe access to the APIs. What about kama ni an individual au a small firm, wanaweza wakakupa access to those APIs, hata through vetting, au ndo mtu asahau kuhusu hilo.

Mind me asking huwa hizo projects ulizofanya zilikuwa zinahusu nini?
 
Zitakuwepo lakini hakuna public documentation. Anayehitaji inabdi afanye formal requests nadhani.
 
Zingikuwa hazina wangewezaje kufanya integration na mobile money, TRA etc? Wanazo lakini siyo open, ni closed kwa maana wanashare na trusted patners tu. Binafsi nimeshafanya project mbili ambazo nime integrate na bank, NMB na CRDB. Lakini hata hizo zingine nyingi zina API
kaka natamani kuwasiliana na wewe
 
hata wangepublish za Read only operations zingesaidia pia. Maana hizon harmless. Mfano mfanyabiashara ana akaunti benki na angependa kuimonitor hasa upande watransaction za credit,ingerahisisha sana mambo.
 
Hakuna API as such wanafanya cutom integration kama wanataka kuunga na system zengine ambayo inaweza kuinvolve kutengeneza API mpya au kutumia existing system zao kubadilishana data. Majority ya benki duniani hazina public API, hiyo ya kumonitor transactions ni service ambayo baadhi ya benki wanatoa hasa kwa corporate customers kwa maelewano. Hizi integration project mara nyingi zinaanzishwa na beenki yenyewe na sio watu wa nje, i.e benki inaamua iweke mpesa kwenye ATM zao so wanatafuta kampuni inayoweza kufanya hiyo integration.

Pia benki kama FNB napata SMS na push notification kwa kila trasaction hizi otification unaweza kuziconsume na kuzitumia kwenye software yako.
 
Hakuna API as such wanafanya cutom integration kama wanataka kuunga na system zengine ambayo inaweza kuinvolve kutengeneza API mpya au kutumia existing system zao kubadilishana data. Majority ya benki duniani hazina public API, hiyo ya kumonitor transactions ni service ambayo baadhi ya benki wanatoa hasa kwa corporate customers kwa maelewano. Hizi integration project mara nyingi zinaanzishwa na beenki yenyewe na sio watu wa nje, i.e benki inaamua iweke mpesa kwenye ATM zao so wanatafuta kampuni inayoweza kufanya hiyo integration.

Pia benki kama FNB napata SMS na push notification kwa kila trasaction hizi otification unaweza kuziconsume na kuzitumia kwenye software yako.
 
Zitakuwepo.
Lakini ni closed source.

Wanatoa kwa trusted parties, kwa makubaliano maalum, mf. kwa ajili ya a shared project.

Halaf by the way, hata kama lets say hawana; ni rahisi kwa system admin kui-develop kwa ajili ya specific requests.
 
kwel
Kwahiyo basically unahitaji kuwa some big name company ili wakupe access to the APIs. What about kama ni an individual au a small firm, wanaweza wakakupa access to those APIs, hata through vetting, au ndo mtu asahau kuhusu hilo.

Mind me asking huwa hizo projects ulizofanya zilikuwa zinahusu nini?
kaka... unajua inatakowa organization kam zile zinatakiwa kuwa na API kwa ajil ya testing ambazo ziwe open kwetu sisi... then ikiwa poa ndo watupe full access... lakin Tz utatafuta requst ya hizo mambo miaka tisa yan hadi idea inapotea
 
Back
Top Bottom