Nimeufuata, picha imekubari finally [emoji120] ilikuwa 400x481 kwa 37kb imeingia vizuri tu.
Sasa nimekuwa na 95% nikajaribu kuapply ikasema nina referees 2, nimeongeza 1 sasa inagoma tena sijui shida nini labda sababu deadline ni leo 25/4
Ni kazi za MDAs/LDAs category ya Msanifu majengo...
Update:
Nimefungua Account mpya kila kitu kiko sawa mpaka picha, sasa tatizo lililojitokeza ni kuwa ile ya mwanzo nilishaweka NIDA number hii ya pili siwezi tumia number ile ile.
Acha tukomae na Private sectors tu.
Shukran kwa michango yenu.
Ok, ni hivi kabla sijakuwa verified na TCU niliweka tu level ya form 6 nikasave account kama mtu ambaye sina elimu ya juu na nikaiacha hivyo. Baada sasa ya kuverify vyeti nikarudi tena ku-update education ili niweke level ya juu hapo ndipo nikaitoa hiyo masters kwa kujua nitakosa kazi kwa hiyo...
Habarini za saa hizi.
Nimejiunga muda mrefu sana hii portal ya ajira ila mpaka naandika hii thread haijawahi kukubari ku-upload picha.
Nimekuwa nikiapply inaniandikia Job Appl... FAILED nikajua labda sababu ya kozi yangu inaingia katka related courses ila zimetoka post za kazi ambapo kozi...
Mimi nipo nje ya mada kidogo
Kwanini utembee Km 32 kwenda kazini na kurudi??
Mbona msiamie karibu na eneo la kazi ?? Especially huyo hasie na usafiri tena ni mkoani
Mimi nikiwa mikoani kikazi nakodi room 40000/50000 master nakaa karibu na kituo ambapo hata nikisema nitumie usafiri ni Tsh...
Ni mimi tu ndio nafatilia TAUSI[emoji52]
Tumefikia sasa Mzee Kasri anamtafuta mwanae Siti kapotea kumbe yupo kwa mchumba wake Mjuba. Huku Tina anaenda kwa Kalumanzila aiseee anarogwa mtu
1. Zingine unaweza kuchukua mabox unalowanisha na gundi unafanya kuziba vipenyo
2. Fundi kuchapia na cement. Hii kidogo itakuwa ngumu kusafishia ndani, kwa nje inaweza leta picha kama umeweka copro
3. Grouts pia inafaa kuzibia
4. Kuna zile soltape za two ways nyeupe nimesahau jina unaweza...
Unatumia SILICONE SEALANT kikopo kimoja kinauzwa Tsh 5000
Sasa hii ni lazima kuwekwa na fundi ila ukimlalia bei ipungue haweki maana dirisha 1 linaweza chukua kopo hata 4/5 kwa madirisha 5 hapo hasara kwake.
Mijusi na wadudu wengine lazima tu uishi nao ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.