Kaka Mayala sio bure utakuwa ushasamehewa ile kodi uliyokuwa unadaiwa sio kwa kujipendekeza huku. Uchaguzi huru na haki sio kuhesabu kura ni mchakato wote mpaka kuisha kwa uchaguzi, mbona ujaongolea figusi za tume kwa wagombea waliowaengua kwa mizengwe?
Huku kwetu Mbezi kuna magari ya mbezi mpaka msata, kwa sasa wanafanya ruti za mbezi to Kariakoo kwa sh 1000/ ila tatizo wananyanyasa walimu ambao kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wanapaswa watumie vitambulisho vya kazi, LATRA wasaidieni walimu haya magari yanapaki Msimbazi na wasimamizi wanawalinda...
Kwa yeyote anayehusika haya magari yenye ruti maalum toka zamani kwa nini sasa yanabadili njia kwa faida ya convid na kututesa sisi wengine kama tunaotaka kwenda mawasiliano makumbusho tunatokea Mbezi wanakata kisa waende Kariakoo kwa 1000?
Mamlaka zinazohusika hili hamlioni? Tunateseka...
Naomba kuelekezwa vyeo vya jeshini na alama zake mfano brigedia jenerali anakuwa na nyota ngapi? Na kadhalika na wengine wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Italy France Spain Je, population yao ikoje? Huu ugonjw upo na ni hatari ila sio hatari sana kwa blacks wanaopatikana Africa kama wazungu ungekuwa unaua sana tungeshuhudia yaliyokuwa yanatoke a kwa wenzetu maiti kutapaka mitaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kada zote ni muhimu katika Jamii huyo engineer au doctor alikuwa anakula makamasi hajui hata kuandika vp kungekuwa hakuna walimu angekuwa alivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.