Mimi kama mwana CHADEMA naulizia vp kuhusu yale mafunzo yetu mliosema yataanza wiki ijayo? Mbona kimya kirefu bila taaraifa yoyote?
Viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa?
chiaiiiiiiiiii.....
kutoka kwa j martin wimbo wa oyoyoo
haipooo aghaaa haipo
kutoka kwa juma nature wimbo haipotei
style ya kucheza ya wimbo wa hakunaga wa sumalee
1.NEY WA MITEGO
huyu aliwahi kua mwizi wa mifukoni katika pilka zake za maisha maeneo ya manzese ila aliacha na kujikita kwenye muziki sasa anmudu maisha yake kw akazi ya halali
SOURCE
yeye mwenyewe katika interview ya redio
2.JUMA NATURE
huyu kabla ya kujishugulisha na shuguli za upondaji...
speaking of myself nilipokua mdogo uume wangu ilikua mrefu na ulionyooka ikla nilpoanza kudinda ndio uume ukaanza kupinda nikafanya uchunguzi nikagundua ni chupi iliyokua ikinibana sana ila dawa yake ni kutokuvaa chupi now unaanza kunyooka
nimeifanyia muhimbili
inapona kwa siku moja kama ni mkwaruzo na vidonda vikubwa vinapona kwa siku 5 mpaka saba inategemea na kinga ya mtu ndio maaana mtu mwingine mafua tu yanamfanaya alae wodini wakati mwingine anadunda mtaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.