Will i.a.m
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 347
- 49
Mimi kama mwana CHADEMA naulizia vp kuhusu yale mafunzo yetu mliosema yataanza wiki ijayo? Mbona kimya kirefu bila taaraifa yoyote?
Viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa?
Viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa?