Katika ukurasa wa Yericko amelipoti kwamba:
"Leo nimekutana na kaka mkubwa kamanda wa Anga, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa Upinzani Bunge Mh Freeman Mbowe.
Tumezungumza mengi kwa mapana yake, lakini kubwa yakigusa mambo ya kiusalama, siasa na mengineyo... Mh Mwenyekiti ameunga...
Leo asubuhi kulikuwa na kipindi cha Tuongee asubuhi ambapo awali tulitangaziwa kuwa wageni watakuwa ni Yericko Nyerere kutoka Chadema na makada wa CCM ambao ni Patrobas Katambi, David Kafulila na Heri James...
Mpaka kipindi kinamalizika uwanja ulikuwa ni wa Yericko Nyerere tu kwanzi makada wa...
Kuna tofauti kati ya kukua kwa uchumi (Economic Growth) na Maendeleo ya kiuchumi (Economic Development).
Ukuaji Wa UCHUMI (Quantitative part) unamaanisha ukuaji na upanukaji Wa uzalishaji Wa bidhaa na au huduma za jamii ama kwa sababu ya kuongezeka kwa ubora Wa rasilimali (Elimu), wingi Wa...
______________________________________
"Historia ya siasa duniani haitengani na historia ya dini. Vitu hivi vimekuwa sambamba na vyenye mafaa kwa jamii yoyote ile duniani, lakini vikileta matatizo makubwa sana katika baadhi ya nchi duniani, matharani ubaguzi wa kiimani umeleta machafuko na...
TAMKO KWA WANAHABARI UVCCM MKOA WA GEITA.
23/01/2015
Ndugu wanahabari, kwa masikitiko makubwa tumetoa taarifa hii kutokana na hali ya mambo ndani ya chama chetu, Tunatumia fursa hii ili tuweze kuzungumzia...
Ningetamani niwe nimeingia kitambo ila 'kawia ufike' walinena wahenga. Nami najipa moyo kuwa mimi siyo wa mwisho kwani bado watakuja/watajiunga wengine humu baada yangu.
Baada ya hayo sasa naomba niwaambie mimi nina aleji sana na ile kitu iitwayo CCM na kwa kweli ime2rudisha hatua nyingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.