1/10.
Kabla ya kuolewa ni malaika baada ya kula mkataba hakuna rangi utaacha kuiona.
Kinacholeta shida sahizi wanataka 50/50 ndo mana wanapata shida sana.
Dada poa wanajitahidi sana kuendelea kuokoa ndoa nyingi.
Kwa sasa kuoa wengi wanawaza mara 100.
Hongerq sana mzalendo.
Yamkini umeuelewa mfumo huo kwa haraka sana na madhaifu yake. Kati ya sehemu ya kumulikwa haraka ni mfumo huo vinginevyo zoezi zima litachukua muda mrefu sana na lisiwe na majibu.
Serikali yetu ni sikivu, nina imani wataliona hili
70% ya mil 45+ ni mashoga?
Sijajua vigezo ulivyotumia, Nina wasiwasi na uelewa wako . Sina Imani Kama unajua maana ya 70%
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini unaendlea vizuri.
Naomba nikudokeze kitu, viwango vya elimu kwa shule nyingi za serikali kama si vinakaribiana basi viko sawa. Hata huko private hata wafundishe mpaka usiku wa manane bado mwanafunzi mwenyewe anatakiwa kusimama mwenyewe siku ya mwisho.
wakati mwingine shule huwa...
Hawasemi utaona konda kashuka linapigwa jeki mko ndani badae mnajiongeza.
Bila hiyana nayapongeza makampuni ya ruti za kaskazini ..wanajali wateja kwa class yeyote utakayopanda
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.