Ndoa ya Kikristo (specifically RC dini yangu) inakamilika kwa tendo la ndoa, kama halijafanyika hiyo ndoa ni batili, hayo husemwa live kwenye semina za ndoa.
Hakukuwa na haja hata ya kusubili miaka 5
Nyie walokole mnasumbua na mikelele yenu, watu mko 7 kwenye kibanda mmefunga sound ya watu mil 1. Bora hata waislam wanaswali saa 1 tu nyie usiku mzima mnatusumbua.
Wengi hawajui, nyaraka kama Hati zilizowekwa dhamana zinatunzwa sehemu salama sana na mostly zinatunzwa strong rooms, sehemu ambayo access yake hata afisa mikopo aliyetoa mkopo hawezi kufika.
Ili kuipata hati atamuomba boss wake tena kwa maandishi.
Hati kupotea sio jambo rahisi ni chain ya watu...
Hivi nani anayetoa vibali vya mikutano ya hadhara, unaruhuje mkutano wa chama cha siasa eneo lile la kanisani.
Kesho jumamosi mchana kuna misa za ndoa na shughuli mbalimbali za kanisa, si kuleta makelele tu.
Kwa nn wasingetafuta eneo lingine la wazi hata kule nyuma shuleni wafanye mkutano wao...
Arusha na nyie kama Dar tu, teleza anawaweka roho juu wanabaka wake zenu na nyie mpo usikute na nyie marinda nina mashaka kama bado mnayo [emoji23][emoji1787]
Bunge limemtuhumu CAG kuwa amelidharirisha, bunge hilo hilo linamhoji CAG na kutoa hukumu, iko wapi misingi ya haki. Kuna haja ya kuangalia sheria zetu na kuzifanyia magadiliko ili haki ionekane inatendeka.
Kwa kesi kama hii ya CAG na kesi nyingine za bunge VS watu wa nje yabunge inafaa kuwe na...
Nenda Edward Michaud iko Barabara ya Sam Nujoma inapakana na Kanisa la Kakobe kama unatokea round about ya Mliman City.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya wateja kuongezeka internet yao imekuwa kimeo kweli kweli, nilikuwa na line ya ttcl kwa sasa ina miezi 5 sijaitumia tena.
Net inaonyesha 4G lakini ni mwendo wa kobe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.