Anajitahidi kwa kweli na anavutia wanawake wengi. Ila kama mtoa mada alivyoongea, anatakiwa kujirekebisha. Mfano kuna siku alishauri wanawake wawashtaki polisi waume zao wanaowaomba kinyume na maumbile. Mi nadhani angesema wawashirikishe viongozi wa dini na wazee kuliko alivyoshauri kwani baba...
hiyo picha ya pili nadhani hao waliosimama ni wasaidizi wa rais. So relaxed na mmoja hapo mikono mifukoni. Ingekuwa ni huku ungeona kanyooka kama dereva wa kibajaj.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.