imeandikwa amelaaniwa yeyote amtegemea binadamu mwenzake na miungu na kumuacha Baba yetu wa mbinguni. Tubu haraka la sivyo hutapita. Mkabidhi shida yako Mungu kwan akiamrisha hata mapepo hutiii
tunajua wewe ni tapeli dr magumashi Mnzava, unatetea utapeli wako. Shukuru Mungu serikali yetu imelala. Mnachukulia tatizo la ajiro kujinufaisha. Muogopeni Mungu
msisapoti huo utumbo, hata kama ingekuwa elfu tano, huo utamaduni na utapeli tukiukubali ndo utakuwa utaratibu wa makampuni ya Tanzania. Chuo gan hakiwez hata kugharamia interview. Mishahara wataweza? Huu ni uhun wa ku take advantage ya unemployment. Sema tu serikali yetu imelala.
usipoteshe umma, adui yetu sio kuwa na vyeti, chamsingi kile cheti kionyeshe maarifa ya kweli ya mtu. Tukumbuke kuwa njia pekee ya kumtambua mtu uwezo wake ni kwa kuangalia utendaji wake amboa huwezi kuutambua kwa kusikiliza porojo za mtu kwenye interview kwan wengine wamejaliwa ufundi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.