Kweli CDM kitakua chama chenu daima ila hakitasikia hata harufu ya ikulu. Miaka 23 hamna cha maana mlichofanya mnatuchosha #ACTWazalendo ndio tegemeo kwa sasa.
Kiukweli mkuu kwajinsi ulivyoelezea huna sifa yakuwa afisa usalama labda useme unasifa za polisi. Afisa usalama kumjua labda awe amekwambia mwenyew sas km watu wamekuhis na kuamin hivyo wameingia chaka kabsa. Kuuleta huu uzi hapa na jins unavyojieleza ni wazi huna sifa yoyote usijipe matumain km...
Mwaka 2012 tulipata chance mimi na classmates wangu ya kuingia police. Tulifanya interview vizuri, siku tunaenda kupima afya pale kurasini hosp ya polisi nilikutana na askari ambaye ni daktari nafikir ana nyota mbili au tatu sina hakika. Aliniuliza maswali ya elimu yangu kuanzia olevel na grade...
Kwanza inaonekana wewe sio mwanasheria kama mimi, pili lugha inakusumbua. Unashindwaje kutofautisha kati ya correct na illigality?
Kama hujaelewa sema nikufafanulie.
Nakujibu hoja #1 hizo nyingine hazieleweki sababu mimi sio mwanasheria.
" 1. Katiba za vyama zinasajiliwa na msajili baada ya kujiridhisha kuwa zinaendana na katiba ya nchi na ndiyo chama kinapata uhai."
Sijajua kama kweli wewe ni mwanasheria, hivi katiba inapotungwa, kuandikwa mpaka kufikia...
Sheria hii ndio kandamizi sababu mtu anaweza kuonewa na akaogopa kwenda mahakamani akihofia kushindwa kesi japo ana haki na kufutwa uanachama. Hamuoni kipengele hiki kinamnyima mtu haki yaki katiba?
Wanasheria tusaidieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.