Search results

  1. K

    TRA, hii ni sehemu ya mikakati wa kuhakikisha watanzania wanaishi kama mashetani?

    Hii ni sheria ya kawaida kabisa na ni lazima itekelezwe. Nchi zote zile duniani ukisha register gari ni lazima ulipie mpaka hapo utakapo iondoa from the register. Tusizoee mambo ya mkato mkato. .
  2. K

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    From Kudi Shauri; Someni Hii Article: President Magufuli: Tanzania’s Robin Hood By Global Risk Insights Published: June 17, 2016, 6:37 am Print thehabarinetwork.com President John Magufuli may be reducing corruption and security risks but has also influenced a trend toward increased...
  3. K

    Mwami Theresa Ntare VI wa Heru - Chifu wa kwanza mwanamke

    Pia alikuwa mke wa one of the Sukuma Chiefs - I think Chief Kidaha Makwaia. Mwalimu Nyerere alimteua Chief Makwaia kuwa Area Commissioner baada ya Uchief kufutwa Tanganyika mwaka 1962 na wote waliokuwa ma-chief wakawa ex-chiefs. Mwaka 1965 ex-chief Makwaia alikuwa area commissioner wa Arusha na...
  4. K

    Tuanze Kujipanga Kuisaidia Kenya, Italipuka 2017

    Soma hii article iliyo andikwa kwenye gazeti la Daily Nation la Nairobi a few days ago: HERE is Dr David Ndii’s Opinion Piece that ANNOYED some Statehouse Operatives, calling for his ARREST MARCH 27, 2016 39 COMMENTS 515Share Tweet 2Share 0Share A decade ago, Prof Bethuel Ogot, one of...
  5. K

    Rais Dr John, mama Janeth na Marry Majaliwa washiriki misa ya X mass. St Peter DSM

    Magufuli embodies his nation's quality of virtue By Makau Mutua Updated Sunday, December 20th 2015 at 00:00 GMT +3 Share this story: Share on Facebook Tweet Google Plus Linkedin 19 Comments There's a veritable reason President John Pombe Magufuli is a Tanzanian, and not a Kenyan. It's the...
  6. K

    Rais Dr John, mama Janeth na Marry Majaliwa washiriki misa ya X mass. St Peter DSM

    Magufuli embodies his nation's quality of virtue By Makau Mutua Updated Sunday, December 20th 2015 at 00:00 GMT +3 Share this story: Share on Facebook Tweet Google Plus Linkedin 19 Comments There?s a veritable reason President John Pombe Magufuli is a Tanzanian, and not a Kenyan. It?s the...
  7. K

    Siungi mkono hotuba ya Rais Kikwete, SA

    Rais Kikwete alialikwa kutoa hotuba hii katika mazishi ya Mzee Mandela kwa niaba ya the former Front Line States [FLS] zilizo ongoza mapambano ya kukomboa nchi za kusini mwa Afrika kuanzia Mozambique miaka ya 1960s. The FLS zilikuwa ziki-ongozwa na Mwalimu Nyerere mpaka mwaka 1985 alipostaafu...
  8. K

    Maprofesa UDSM Wanyimwa Mkataba wa Kazi

    Retirement Age ya maprofesa katika vyuo vikuu vya umma huko Kenya ni miaka 70 [sabini]. Pili, Profesa anaweza kupata mkataba wa kuajiriwa mpaka afikiapo miaka 80 ili mradi tu afya yake inamruhusu. Hata baada ya miaka 80 maprofesa wanaweza kuajiriwa kwa mikataba mifupi ya miezi mitatu mitatu...
  9. K

    Kama nchi haina dini ni hukoBara sio Zanzibar

    Huyu Professor ni Kilaza kabisa - Asome Clause Number 19 ya Zanzibar Constitution ambayo ni very clear - Dini sii shughuli ya Nchi bali ya Mtu Binafsi. 19.(1) Every person has the right to freedom of thought or conscience, belief or faith and choice in matters of religion, including the...
  10. K

    Dakika 45 na Prof. Sospeter Muhongo

    The Professor is not a politician and I suspect he will pay heavily for his comments. Huwezi kuwaita wananchi waliotoa maoni yao kama ni mambumbu. Ilani ya CCM ya 2010 iliwa-promise hao wana Mtwara power station ya 300MW - kwa nini wanabadilisha sasa. Pili hiyo Gas ya baharini anayoiongelea...
  11. K

    Ukweli wa gas Mtwara

    What will happen to this pipeline when more gas is discovered near Dar. We know that natural gas has already been discovered in Mkuranga and it is likely there will be even more gas discoveries in Temeke and other Coastal areas near DAR. Will the Government then send this Mkuranga/Temeke gas to...
  12. K

    Wananchi Mtwara Mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!

    Kuna hatari ya jambo hili kuigawa nchi. Wananchi wa Mtwara wana haki ya kuandamana kwa vile the whole issue hawakuelezwa vizuri. The lack of transparency in all these mineral and other infrastructure deals such as the Bagamoyo port project is going to kill this country. There were two...
  13. K

    Kesi ya Uamsho: Sheikh Farid na wenzake wadai kuteswa mahabusu

    Wafungiwe cell hawa na ufunguo utupwe mbali huku Bara. Wana laana ya kula nyama ya binadamu hawa - na hiyo laana watakuwa nayo maisha yao yote.
  14. K

    Timu ya warembo 'Miss Reds Tanzania' yamtembelea Lowassa

    Mheshimiwa Lowasa alisomea degree ya Usanii hapo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam [BA in Drama and Theater Arts] - kwa hiyo wale wanao shindania kuwa Miss Tanzania wana mengi ya kujifunza toka kwake. Sioni swala lolote la kuhusisha ziara hii ya hawa kina Dada na kinyang'anyiro cha kugombea uteuzi wa...
  15. K

    Mtanzania wa kwanza kuwa profesa

    Professor wa kwanza Watanzania naamini walikuwa Professors Arnold Temu and Isaria Kimambo in History. I think they became professors in early 1970s [1971?]. Before 1973 UDSM had the ranks of full Professor/Reader/Senior Lecturer/Lecturer/Assistant Lecturer. However from July 1973 this was...
  16. K

    Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

    Tuone kama hawa watapigwa mabomu na Polisi kama CHADEMA Morogoro na Mufindi
  17. K

    CHADEMA yapinga tume ya kuchunguza kifo cha Daudi Mwangosi

    The issue hapa sio kilichotokea kwenye kesi ya akina Zombe Mahakama kuu. The issue ni uchunguzi wa mauaji ya hao jamaa wa Mahenge ambao mwanzoni walisingiziwa kuwa walikuwa majambazi waliouwawa na Polisi. Tume Huru ikiongozwa na Jaji wa Mahakama Kuu ilidhibitisha hao jamaa hawakuwa majambazi...
  18. K

    CHADEMA yapinga tume ya kuchunguza kifo cha Daudi Mwangosi

    Mwaka 2006 kulitokea mauaji ya wachimba madini kutoka Mahenge nje kidogo ya Dar es Salaam baada ya hao jamaa kukamatwa na Polisi. Rais Kikwete aliunda Tume Huru iliyo ongozwa na Jaji wa Mahakama kuu kuchunguza vifo hivi. Tume ilitoa ripoti yake na kulaumu Polisi kwa mauaji ya hao wachimba madini...
Back
Top Bottom