Mkuu Haiwezekani Kila Mtu awe na Sura Nzuri Mkuu,Sisi ambao tuna Sura ambazo si mbaya wala Si Nzuri unatuweka kwenye Kundi gani?
Kwa Maoni yangu Mm Uzuri wa Mwanaume Unapaswa Kupimwa kwa Kiwango Chake cha Hekima,Akili,Uchapaji Kazi na Upendo hasa kwa Familia yake!!
Kwa hiyo kwa Maelezo yako tunaweza kupima Ukilaza au kutokuwa kilaza kwa Mtu kupitia Cv? Saed Kubenea ni Mtu Mwenye Uwezo Mzuri sana Kichwani,Kazi zake zinamshuhudia!!
Kwa hiyo wewe katika Hekima yako unadhani huyo Kova akikabidhiwa huo Mkanda hata kama ni wa Ukweli halafu Kova ambaye tunajua Msimamo wake tayari akishafanya hiyo Analysis atasema kwamba Kweli hiyo Kanda haijakuwa doctored? Kwamba Kova ni Mtu Muadilifu? That we can trust him,Tayari Mwajiri wa...
Neiwa
Mkuu nakuelewa sana,ingekuwa Nchi za watu "weupe" Kingenuka!! Ile Revolution ya Misri ilianza na Kijana Mmoja tu aliyefanyiwa Unyama, Cheche ikazaa Moto!!
Kwa sisi mambo hayo hayawezekani kwa sababu wengi wetu hatuna vigezo vinavyohitajike ambavyo ni AKILI na UJASIRI!!
Nimecheki na Rafiki yangu mmoja ni daktari wa Amana kuhusu Kazia hii,wao nao wanaamini kwamba Daktari Ulimboka ametekwa na watu ambao wametumwa na Serikali!!
Hii inazidi kuamsha hasira zao na Wamesema wanajipanga Kogoma zaidi,sio baridi tena,itakuwa Mgomo Moto!!
Mkuu,Haina haja ya Kupanic au Kutukana kama alivyofanya Lunyunga,If u read carefully what English Learner said he used the phrase "What If" to mean two things,first Proposition secondly Uncertainity of the proposed idea!!
In light of that context,it would be an utter lack of self control to...
Baruani acha kujipendekezapendekeza kwa Ccm!! Halafu Yahaya,balance mjadala kwa kuwapa nafasi akina Zitto na Msigwa Fursa ya Kuzungumzia Issue ya Mnyika!!
Yaaani huyu Malecela yupo hapo kwa ajili ya Kumponda Mnyika tu, nadhani Ukada wake wa CCM umemtia Upofu, Mnyika hajatukana, Mnyika ameusema Ukweli Mchungu!! Kama wao walimwona Karopoka walitakiwa wampe Nafasi athibitishe, angeshindwa angalau wangekuwa na Haki ya Kumhukumu!!
Isitoshe huyu...
Usiniambie kwamba na wewe ni Baba na kuna watu wanakutumainia wewe uwape Mwongozo!! Kama hao watoto wako hawana cha kujifunza kutoka Mnyika huenda wanacho cha kujifunza kutoka kwa Mwigulu Nchemba na Lusinde!! Mnyika Kauongea Ukweli Mchungu,what a bold young man!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.