Search results

  1. S

    Wale wa shule za mfagio na kidumu cha maji soma hii

    Bulicheka na mkewe Lizabetha walipoenda kwa wagagagigikoko! Bila kusahau hapa Juma na Roza!
  2. S

    Tetesi: Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon

    Sasa si zamu ya Afrika, ni zamu ya Ulaya tena Ulaya Mashariki na Eurasia kama sikosei na wapendekezwa majina yameshaanza kuwasilishwa. Angalia hii link ya Tovuti ya Rais wa mkutano wa 70 wa Baraza Kuu la UM. Procedure of Selecting and Appointing the next UN Secretary-General
  3. S

    Kutoka Uwanja wa Namfua-Singida: Lazaro Nyalandu atangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania

    Yaani anagusagusa juu juu tu bila kusema kimkakati atafanya nini! "Tupige vita hila, woga, ukatili katika utoaji huduma.." Kwa vipi? Hasemi! Labda mwishoni kwenye hitimisho!
  4. S

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Animal Farm cha George Orwell! Kinaweka bayana songombingo za siasa katika jamii vile ambavyo watu wanaweza kuw na mtazamo wa pamoja kuleta mabadiliko na hatimaye wakishamwondoa yule wanayeamini hafai basi wenyewe kwa wenyewe wanaanza kubaguana!
  5. S

    Wahariri mnakera !!! Samahani kwa picha ?

    Inatakiwa ujiweke katika viatu vya jamaa au ndugu za hao maiti wanaoonyeshwa! Jiulize ungalifurahi kuona ndugu yako maii yake inaonyeshwa hovyo? Ni staha tu inatakiwa. Kwani ukionyesha maiti amekatwakatwa ndio inaongeza uhalali wa habari? Ni suala la kujipima! Kuomba radhi halafu kuonyesha picha...
  6. S

    Ingekuwa enzi za uhai wa NYERERE, NAPE na NCHEMBA wangepata uongozi ndan ya CCM kama leo?

    Ni wachumia tumbo wasiojua hata maana ya siasa! Mwalimu Nyerere (R.I.P) asingalivumilia hiki kinachoendelea! Hata ukiwauliza itikadi ya chama chao ni nini, waeleze kwa maneno mawili tu hawawezi! Wanaimba muziki wasiojua hata msingi wa Noti zake wala maana ya maneno yake!
  7. S

    Hivi upinzani Ni kupinga kila kitu? Wachina kuwekeza Nchini Ni juhudi za Serikali kuvutia wawekezaji

    Tuna haki ya kuhoji kilichomo kwenye mikataba. Kma inaweka masharti mathalani ya kutoendeleza bandari zingine zilizo umbali fulani kutoka Bagamoyo, kweli huo ni mkataba wa maslahi ya Tanzania? Na waru wana haki ya kuhoji kwa kuwa mambo yanakuwa siri sirini tu! Lakini mambo yakiharibika tunaoumia...
  8. S

    Dr Shaban Nzori on the Chinese President's visit to Tanzania

    Na ndio maana nasema siku zote hawa wachina wataendelea kuhakikisha uhusiano wao na TZ unakuwa wa kutupatia samaki na si kutuwezesha kuvua! Kijuu juu misaada inaonekana mikubwa lakini ukichimba ni practical to the extent that we will alwayz be on our knees waendelee kuwa marafiki kwa kuwakubalia...
  9. S

    utumishi kwa mara nyingine tena.

    Jamani si mbaya mtu akatembelea hii tovuti ya United Nations kuna ajira za aina mbali mbali, katika maeneo mbali mbali ingia weka CV yako na unaweza tafuta kama kuna nafasi imetqngazwa ambayo inakufaa... Jaribu! Www.careers.un.org Kila la kheri!
  10. S

    YESU amenipa kazi UN

    Asifiwe sana! Endelea kushika neno na ufanye kazi kwa bidii, huo ni mwanzo tarajia zaidi na zaidi huku ukiendelea kusali na kuchapa kazi! Ubunifu, kujiamini na kutambua jinsi ya kufanya kazi katika jamii yenye watu wa tamaduni tofauti! Ll the best!
  11. S

    Acceptance speech ya Uhuru Kenyatta, Kuna cha kujifunza kwa viongozi wetu

    Yaani bora umetoa ufafanuzi zaidi as watu huwa pengine hawazielewi au hawazioni na si lazima mtu azifahamu teleprompters au autocues kama hukumbani nazo kwenye kazi za kila siku au tu kudadisi kufahamu. Hata ma reporter wa mashirika makubwa wakiwa Live from locations mara nyingi hutumia na kwa...
  12. S

    Acceptance speech ya Uhuru Kenyatta, Kuna cha kujifunza kwa viongozi wetu

    Inategemea...akitoa hotuba za mwezi hutumia autocue...sasa uamuzi wa kuhamahama nayo kwenye maeneo mengine ya mkutano mfano uwanja wa taifa na maeneo mengine ni juu ya wale wanaosimamia mawasiliano. Ni uamuzi tu na uwezo wa wale wanaoiendesha as wengine huiendesha wenyewe from the...
  13. S

    Acceptance speech ya Uhuru Kenyatta, Kuna cha kujifunza kwa viongozi wetu

    Hakuwa anatoa kichwani, niliona autocue pale ambayo ni vioo viwili vinakuwa mbele yake juu kidogo ya Podium...bila shaka kuna mambo anayoweza kuongeza, hata Obama hutumia na viongoz wengi kwenye hizo hotuba zinazoandaliwa mapema. Unaweza google.....Presidential autocue or just autocue upate...
  14. S

    Tujadili elimu ya Mnyika au wanafunzi 240,903 kupata sifuri?

    Ni aibu ni aibu na masikitiko makubwa... Na hata wakati anatangaza waziri hayo matokeo yuko na tabasamu...yaani unashamgaa hiviyuko makini kweli? Hivi wanafahamu namna hii tunaelekea wapi jamani? Dunia sasa ni kijiji kidogo tu bila elimu makini unatupwa kule mbali kabisa na kumeza na mamba! Sasa...
  15. S

    Viongozi wetu na Kingereza

    ...he or she must be countable to this censer! Mungu jalia.....kaniacha hoi! Hapo katunisha msuli hadi kaweka saini! Mungu saidia elimu yetu!
  16. S

    Madeni Shamte Kipande Akaimu Ukurugenzi mkuu TPA

    Du! Kazi kweli kweli!
  17. S

    Madeni Shamte Kipande Akaimu Ukurugenzi mkuu TPA

    Aliyekuwepo kaondolewa?
  18. S

    Waungwana Fumbo hili nisaidieni Jibu

    Katiba iliyotungwa na informed and empowered wananchi ndio jibu! Haiwezekani nchi kuongozwa na utashi wa mtu anavyoamka. Mtu hata hamwogopi Mungu, anaapa kuongoza kwa kushika kitabu kitakatifu lakini anayofanya ni madudu na siku ya Ibada ndio wa kwanza kwenye madhabahu! Tutunge katiba mpya...
  19. S

    Sioni sababu ya kurudiwa kwa uchaguzi wa ubunge ikiwa....

    Turekebishe katiba, mbunge akitenguliwa ubunge the next achukue nafasi, lakini akifa basi ndio uchaguzi ufanyike..hii ya kurudia kila uchaguzi kiti kikiwa wazi ni gharama kubwa kwa watanzania, inadhihirisha usemi kuwa demokrasia ni gharama, which I believe should not be so! Imagine majimbo...
Back
Top Bottom