Wana JF
Jamani nimeulizwa na msafiri mtarajiwa kuhusu swala la uzito wa 'checked in' na 'hand laggage' kwa flights za British Airways. Hii ni kwa sababu kwenye website ya BA kuna maelezo ambayo yanachanganya. Kwanza wanasema uzito wa checked in laggage ni 23kg, lakini unaweza kuruhusiwa...
WanaJF, pengine ni vizuri kuangalia historia ya wafanyibiasha wa kiAsia ili kuona influence yao katika biashara Tanzania. Upembuzi huu hapa chini, ni mrefu kidogo, unatowa mwanga kwa swala hilo
Kina nani hawa....
baadhi ya majibu yaliyopo kwenye thread ya Chenge atua na kulonga
Kuna wengine hapo hatuwajui bado, nani mwenye taarifa atusaidie kwa hilo!
Yes, without a doubt Prof Shivji deserve the honour to be the first research chair of Mwalimu JKN. He has long been one of the most articulate critics of the destructive effects of neoliberal policies in Africa, and in particular of the ways in which they have eroded the gains of...
Jamani, kwa wenye kujua mambo hebu tuambieni hawa waliopata faraja ya mshiko toka kwa paymaster general ni kina nani hawa, kwa nini wao, je kulikoni?
Kutoka kwenye akaunti ya binafsi ya Chenge, mamilioni ya shilingi yamelipwa kwa watu mbalimbali wakiwa ni pamoja na Janet Mashale, Mary...
Four out of six Maasai managed to reach the finish line of London Marathorn. Certainly it is obvious the run was not as easy as chasing a lion. Sadly, Isaya, their leader felt sick after few miles and was taken to hospital. The good news is, they have raised at least GBP 63,0000, more than the...
The donation so far is around GBP 26,000, not bad for the six warriors doing it for village water project..... enjoy
The marathon is easy. There are no lions
Six Maasai warriors will run the London Marathon tomorrow to raise money for a well in their village. Isaya, 24, is their chief...
Mambo hayoo
Jina Richmond lazua balaa Dar
na Lucy Ngowi
KASHFA ya Richmond iliyosababisha kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, wiki iliyopita, na hatimaye kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri, imeanza kuzua balaa katika viunga vya Jiji la Dar es Salaam.
Balaa hilo limeanza...
Richmond Tower Apartments
Katika pita pita yangu, nilifika kwenye hili jengo nikaongea na walinzi wakaniambia hizo apartments zinauzwa. Nikaomba nikutane na wahusika, nikapelekwa kwa mhindi supervisor wa jengo. Akaniambia apartments zote zimeshauzwa. Habari zaidi ni kwamba, gorofa ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.