mimi kama mmoja wa marais ktk chuo kimojawapo mjini iringa napinga vikali upotoshaji unaofanywa na vijana wa ccm ambao wanajiita umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu na kukutana morogoro ambapo eti walimpendekeza makamba j. Kuwa mgombea urais wa nchi kwa kumpigia kura, ndugu zangu ifahamike kuwa...
Kaka dickson hao labda ni marais wa chama cha mapinduzi, mimi ni rais wa chuo kimojawapo hapa nchini kwa sasa na hiyo taarifa ya kutumia jina la umoja wa wanafunzi wa vyuo kwa maslahi ya watu wachache ni uhuni na ninapinga vikali sana
wadau naomba msaada wa kufahamu wapi nimpeleke mdogo wangu kwa hapa dar ili apate pindi la kufa mtu ktk masomo ya arts yote ili arudie vyema mtihan, pia kama unajua kituo kizur cha pepa na utaratibu wa kujiandikisha kurudia
niko chuo kwa sasa iringa, likizo huwa nipo dar mara nyingi na mara kadhaa kilimanjaro. sasa nina kama 1 mil. nataka kufanya biashara yoyote yenye kuendana na mwanachuo kwa maana ya muda, pia nilifikiria kufanya biashara ya nguo ila cjui pa kuanzia, pia nilifikiria kufungua salon, na pia...
mawazo yako ni mazuri ila huo ukabila wanauona ccm tu na kusahau kuwa majimbo yote hayatawaliwi na wachaga likiwepo iringa kwa kamanda msigwa.ccm wajtafakari yao ya kuwa chama cha matajiri na mtaji wao mkubwa kuwa wananchi maskini wa Tanzania.Hasa wakifikilia kukomboa jimbo badala ya kuwakomboa...
wewe bayana kuwa mfuatiliaji wa mambo, hata chadema ikiingia madarakan inapingana na uataratibu wa mawaziri kutokana na wabunge, hivyo hoja yako hasa cjaielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.